Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Mmh kwa yanyoendelea chadema wacha nihamie chama cha
bwanayesu
mmhhh hata uliowatarajia kumbe wanajishonesha wanajifanya kufungisha watu mitaani wanakufa na bastola wao wana enjoy life demn politics.......
Thanks cag umetufmbua macho hii dhambi ya ufisadi itawalilia kila sehemu aijalishi wa chadema wala sisiemu wala kafu wala enensisiara mageuzi
Sasa hapa CAG kasema nini? hebu fafanua kwani ninachojifunza leo hapa ni kuwa tangu jana Kiranja aweke suala la Usalama na Mzengi , watu wamekuja hapa tangu asubuhi ni kuhakikisha kuwa wanaweka thread mpya hata kama zinafanana lengo ni kuwafanya watu wawe bize na chadema na sio kusoma suala lingine lolote.