CAG Profesa Assad asema moto ni uleule

Kama akiweza kulizuia hili atakuwa katusaidia sana make wanasiasa wetu wanafanya mambo ya ajabu sana wanaonea watu kwa chuki zao kisa tu biashara zao zimebanwa kwenye wizara au idara fulani.
 
Kinachozingatiwa ni taluma siyo undugu wala kujuana ukifuata hayo unamkagua mtu yeyote.
 
Kinachozingatiwa ni taluma siyo undugu wala kujuana ukifuata hayo unamkagua mtu yeyote.

Kaongelea suala la conflict of interest na kufuata taaluma, si siasa.

Alivyoteuliwa yeye tu ni kisiasa. He is a presidential appointee. Tayari kama kuna zali linalomhusu rais, tushaanza kumuondolea uhuru wa kumnanga rais ipasavyo, kwa sababu kama a presidential appointee atamuonea haya.

Katika katiba mpya moja ya vitu vinavyotakiwa kufanywa ni kupunguza madaraka ya rais, ikiwa ni pamoja ya kupunguza hawa presidential appointees.

Hivi hamna namna nyingine ya kumpata CAG mpaka awe presidential appointee?

Na kama CAG ni presidential appointee, ana moral authority gani ya kukemea kuchanganya siasa na taaluma wakati uteuzi wake yeye mwenyewe ni wa kisiasa?
 
Huyo CAG anaweza kuwa mtu mzuri tu. Tena mwenye mapenzi sana na nchi yake. Lakni kwa kawaida mtu mwadilifu akianza kuishi na wachafu atachafuka tu. Biblia inasema na hata Quarun inasema kaa mbali na wasio amini au wapagani. Huwezi kuendelea na kile unachoamini tena. Huyu mzee uislam wake safi ndio ushaakimbia kwa kukubali ofa y kikwete.
System nzima ni hovyo. Hatuwezi kumlaumu raisi moja kwa moja laknj hataki kuboresha hilo hitilafu na migongano ya katiba yetu. Lazima professionalism iwe mbali na siasa. Period. Hatutaki mawaziri wawe wabunge. Tulisema hilo. Jingwa kubwa Pinda akasema hapana haiwezekani. Je tutabaki kusema rais ana nia njema na nchi? Lah!
 
Mengi yapo nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…