CAG kaficha ripoti za TANESCO na NHC?

CAG kaficha ripoti za TANESCO na NHC?

Sam Seaborn

Member
Joined
Aug 20, 2011
Posts
98
Reaction score
39
Ludovick-Utouh.jpg



Mnajua kwa nini Mkaguzi mkuu wa mahesabu Ndugu Ludovick Utouh kaficha ripoti za ukaguzi za TANESCO na NHC ?
 
Labda anaogopa kama kweli amefanya hivyo basi hajatundea haki wahasibu na wakaguzi na taifa lake.
 
kutokana na weledi wa huyu mzee siamini kama kweli kaficha hizo ripoti

mmejaribu kwenye tovuti ya National Audit?

Tatizo la hawa watu ni kwa sababu CAG ni mkristo safi ndio maana hawaishi kumuandama. Namfaham vizuri sa huyu mzee na familia yake na nasikitika na hizi tabia za baadhi ya members kumuandama kila msimu wa kutoa hizi reports

Cha ajabu mleta mada ameamua kuwaandama wakuu waliopo Tanesco na NHC lakini akasahau sehem zingine.

wana Jamiiforums acheni wivu usio na maana.

Mzee Ludo piga kazi usiwasikilize hawa wauza sumu wa Jamii forums ambao wako driven na chuki binafsi.
 
Back
Top Bottom