Bosi wa NAO kabla ya huyo Mwislam mara zote katoa hati safi na na Bodi ya Uhasibu (NBAA) imeshawahi kuwapa cheti bora cha Hesabu safi.
Labda watasema Utouh nae alimpendelea kwa kuwa ni Mtanzania mwenzake. Wasisahau na PPRA waliwapa cheti cha ubora wa manunuzi (VFM). Kama kuumbuka ni ugonjwa basi jamaa muda huu wangekuwa ICU.