CAG: Hakuna ufisadi NSSF

Nani mmliki wa hilo gazeti, maana liko kikazi zaidi tangu liingie sokoni.
 
Watakuja kusema bosi wa NAO ni mwislamu mwenzeke hawaishiwi maneno

Bosi wa NAO kabla ya huyo Mwislam mara zote katoa hati safi na na Bodi ya Uhasibu (NBAA) imeshawahi kuwapa cheti bora cha Hesabu safi.
Labda watasema Utouh nae alimpendelea kwa kuwa ni Mtanzania mwenzake. Wasisahau na PPRA waliwapa cheti cha ubora wa manunuzi (VFM). Kama kuumbuka ni ugonjwa basi jamaa muda huu wangekuwa ICU.
 
Kweli hakuna ufisadi ila matumizi mabaya ya fedha na madaraka yalikuwa ya kupita kiasi
 
Ndo kashatoka hivyo,hana nafasi tena.
Kama vile uncle alivyokaa mahabusu miaka miwili then akatoka akiwa hana hatia lol,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…