CAG aibua ufisadi wa kutisha NSSF

CAG aibua ufisadi wa kutisha NSSF

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
58,041
Reaction score
134,315
Mpaka sasa najiuliza kwa nini Spika alikuwa anakwamisha kwa maksudi kuanikwa kwa wizi huu

Katika ripoti ya CAG umeibuliwa ufundo wa hatari

Hasara katika Kununua Ardhi ya Sh. Bilion 4.17

CAG anasema......

Mfuko wa NSSF uliingia mikataba tarehe 16 Septemba 2010 na 12 Oktoba 2010 wa kununua ekari 277 (Muuzaji wa kwanza) na ekari 180 (Muuzaji wa pili) eneo la Kiluvya kwa Sh. bilioni 3.32 na Sh. bilioni 1.62, mtawalia. Kufuatia mapitio ya taarifa ya tathmini ya ekari 277 nilibaini kuwa thamani ya ardhi hiyo kwa kipindi cha mwezi Oktoba 2010 ilikuwa Sh. milioni 416.40; wakati makadirio ya thamani ya soko kwa ekari 180 ilikuwa Sh.milioni 720. Kwa hiyo, gharama ya ardhi iliyonunuliwa ilizidishwa kwa kiasi cha Sh. bilioni 2.90 na Sh. milioni 900 mtawalia na hivyo, kusababisha jumla ya hasara kuwa Sh.bilioni 3.80.

Nilibaini pia kuwa, muuzaji wa kwanza aliripoti mauzo yake kwa TRA kwa Sh. milioni 900 badala ya Sh. bilioni 3.32, kwa sababu hiyo kodi (stamp duty) ya Sh. milioni 24.24 haikulipwa.

Zaidi ya hayo, nilibaini hasara nyingine ya Sh. milioni 370 iliyotokana na NSSF kununua ekari 67.4 kwa muuzaji bandia eneo la Nunge, Bagamoyo. Mahakama ya wilaya katika shauri la madai shauri Na. 7 la 2003 na Mahakama Kuu katika Rufani ya Madai ya shauri Na. 7 la 2006 ilibaini kwamba, muuzaji hakuwa mmiliki wa ardhi ambayo iliuzwa kwa NSSF.

Kwa ujumla, NSSF ilipata hasara ya Sh. bilioni 4.17 katika kununua ardhi na ililipa kiasi kidogo cha kodi (stamp duty) kwa Sh. milioni 24.24.

Ninapendekeza kuwa Bodi ya Mfuko na Menejimenti ichukue hatua stahiki kwa wale waliohusika katika mchakato mzima wa kununua ardhi iliyosababisha hasara hiyo ya Sh. bilioni 4.17


Watumishi kugawiwa mabilioni kununua hisa Vodacom bila riba wala mikataba

CAG anasema....

Mfuko ulitoa mkopo bila riba wa Sh. bilioni 1.65 kwa watumishi na Sh. milioni 206 kwa wachangiaji (Members) wengine ili kununua hisa za Vodacom. Hata hivyo, hakukuwa na mikataba kati ya Mfuko na wanufaika hao. Pia, namna ya urejeshwaji wa mikopo iliyotolewa kwa wachangiaji wengine imebaki kuwa mashakani.

Mkopo uliotolewa kwa wachangiaji wengine ulikuwa kinyume na mafao yaliyoelezwa katika sehemu ya Sheria ya Pesheni ya NSSF ya mwaka 2015.

Kukosekana kwa mikataba kwa fedha zilizolipwa kwa ununuzi wa hisa za Vodacom kati ya Mfuko na wanufaika wa mkopo kunaweka mazingira ya wakopaji kutokurejesha mikopo hiyo.


Hakika nchi hii inaliwa.
 
Mpaka sasa najiuliza kwa nini Spika alikuwa anakwamisha kwa maksudi kuanikwa kwa wizi huu

Katika ripoti ya CAG umeibuliwa ufundo wa hatari

Hasara katika Kununua Ardhi ya Sh. Bilion 4.17

CAG anasema..........Mfuko wa NSSF uliingia mikataba tarehe 16 Septemba 2010 na 12 Oktoba 2010 wa kununua ekari 277 (Muuzaji wa kwanza) na ekari 180 (Muuzaji wa pili) eneo la Kiluvya kwa Sh. bilioni 3.32 na Sh. bilioni 1.62, mtawalia. Kufuatia mapitio ya taarifa ya tathmini ya ekari 277 nilibaini kuwa thamani ya ardhi hiyo kwa
kipindi cha mwezi Oktoba 2010 ilikuwa Sh. milioni 416.40;
wakati makadirio ya thamani ya soko kwa ekari 180 ilikuwa Sh.milioni 720. Kwa hiyo, gharama ya ardhi iliyonunuliwa ilizidishwa kwa kiasi cha Sh. bilioni 2.90 na Sh. milioni 900 mtawalia na hivyo, kusababisha jumla ya hasara kuwa Sh.bilioni 3.80. Nilibaini pia kuwa, muuzaji wa kwanza aliripoti
mauzo yake kwa TRA kwa Sh. milioni 900 badala ya Sh. bilioni
3.32, kwa sababu hiyo kodi (stamp duty) ya Sh. milioni 24.24
haikulipwa.
Zaidi ya hayo, nilibaini hasara nyingine ya Sh. milioni 370
iliyotokana na NSSF kununua ekari 67.4 kwa muuzaji bandia
eneo la Nunge, Bagamoyo. Mahakama ya wilaya katika shauri
la madai shauri Na. 7 la 2003 na Mahakama Kuu katika Rufani
ya Madai ya shauri Na. 7 la 2006 ilibaini kwamba, muuzaji
hakuwa mmiliki wa ardhi ambayo iliuzwa kwa NSSF. Kwa
ujumla, NSSF ilipata hasara ya Sh. bilioni 4.17 katika kununua
ardhi na ililipa kiasi kidogo cha kodi (stamp duty) kwa Sh.
milioni 24.24.
Ninapendekeza kuwa Bodi ya Mfuko na Menejimenti ichukue
hatua stahiki kwa wale waliohusika katika mchakato mzima wa kununua ardhi iliyosababisha hasara hiyo ya Sh. bilioni 4.17

Watumishi kugawiwa mabilioni kununua hisa vodacom bila riba wala mikataba

CAG anasema..............
Mfuko ulitoa mkopo bila riba wa Sh. bilioni 1.65 kwa watumishi
na Sh. milioni 206 kwa wachangiaji (Members) wengine ili kununua hisa za Vodacom. Hata hivyo, hakukuwa na mikataba kati ya Mfuko na wanufaika hao. Pia, namna ya urejeshwaji wa mikopo iliyotolewa kwa wachangiaji wengine imebaki kuwa
mashakani. Mkopo uliotolewa kwa wachangiaji wengine
ulikuwa kinyume na mafao yaliyoelezwa katika sehemu ya
Sheria ya Pesheni ya NSSF ya mwaka 2015.
Kukosekana kwa mikataba kwa fedha zilizolipwa kwa ununuzi
wa hisa za Vodacom kati ya Mfuko na wanufaika wa mkopo
kunaweka mazingira ya wakopaji kutokurejesha mikopo hiyo.

Hakika nchi hii inaliwa.
Bado kuna juhudi za kukwamisha ripoti hiyo, nimeona mbunge Ally Saleh kaandika kwenye akaunti yake ya Twitter kwamba kuna changamoto kwa wabunge kupata vitabu vyote 17 vya ripoti ya ukaguzi, mwenyekiti wa bunge nyoka wa makengeza amesema kwamba kuna gharama za kutoa nakala hizo ili kupata idadi hiyo ya vitabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado kuna juhudi za kukwamisha ripoti hiyo, nimeona mbunge Ally Saleh kaandika kwenye akaunti yake ya Twitter kwamba kuna changamoto kwa wabunge kupata vitabu vyote 17 vya ripoti ya ukaguzi, mwenyekiti wa bunge nyoka wa makengeza amesema kwamba kuna gharama za kutoa nakala hizo ili kupata idadi hiyo ya vitabu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wote wezi mkuu,vitabu 17 gharama gani watuambie ili wananchi tuchangie
 
Kama mwaka ni mwaka 2010 ndio ufisadi ulifanyika wa kulaumiwa ni wale waliokuwa madarakani 2010,sasa kwanini hawa wa leo wamogope hizo ripoti?na CAG mwaka 2010 alikuwa nani ndio tuanzia hapo
 
Mkuu huko ccm na Serikalini kumejaa wahuni, majizi na mafisadi yasiyostahili hata kuitwa viongozi.

Aliyekabidhiwa ripoti iliyojaa uozo wa hali ya juu kuhusu pesa za walipa kodi yuko kimya anajibaraguza tu kupanda majukwaani kuongea upuuzi na kufurahia anayeweza kuigiza sauti yake wakati nchi ikielekea kwenye kiza kinene.

Kadharau katiba, bunge, mahakama na sasa anaonyesha dharau ya hali ya juu kwa CAG Assad na ofisi yake yote.

Tanzania is a FAILED STATE.


Mpaka sasa najiuliza kwa nini Spika alikuwa anakwamisha kwa maksudi kuanikwa kwa wizi huu

Katika ripoti ya CAG umeibuliwa ufundo wa hatari

Hasara katika Kununua Ardhi ya Sh. Bilion 4.17

CAG anasema..........Mfuko wa NSSF uliingia mikataba tarehe 16 Septemba 2010 na 12 Oktoba 2010 wa kununua ekari 277 (Muuzaji wa kwanza) na ekari 180 (Muuzaji wa pili) eneo la Kiluvya kwa Sh. bilioni 3.32 na Sh. bilioni 1.62, mtawalia. Kufuatia mapitio ya taarifa ya tathmini ya ekari 277 nilibaini kuwa thamani ya ardhi hiyo kwa
kipindi cha mwezi Oktoba 2010 ilikuwa Sh. milioni 416.40;
wakati makadirio ya thamani ya soko kwa ekari 180 ilikuwa Sh.milioni 720. Kwa hiyo, gharama ya ardhi iliyonunuliwa ilizidishwa kwa kiasi cha Sh. bilioni 2.90 na Sh. milioni 900 mtawalia na hivyo, kusababisha jumla ya hasara kuwa Sh.bilioni 3.80. Nilibaini pia kuwa, muuzaji wa kwanza aliripoti
mauzo yake kwa TRA kwa Sh. milioni 900 badala ya Sh. bilioni
3.32, kwa sababu hiyo kodi (stamp duty) ya Sh. milioni 24.24
haikulipwa.
Zaidi ya hayo, nilibaini hasara nyingine ya Sh. milioni 370
iliyotokana na NSSF kununua ekari 67.4 kwa muuzaji bandia
eneo la Nunge, Bagamoyo. Mahakama ya wilaya katika shauri
la madai shauri Na. 7 la 2003 na Mahakama Kuu katika Rufani
ya Madai ya shauri Na. 7 la 2006 ilibaini kwamba, muuzaji
hakuwa mmiliki wa ardhi ambayo iliuzwa kwa NSSF. Kwa
ujumla, NSSF ilipata hasara ya Sh. bilioni 4.17 katika kununua
ardhi na ililipa kiasi kidogo cha kodi (stamp duty) kwa Sh.
milioni 24.24.
Ninapendekeza kuwa Bodi ya Mfuko na Menejimenti ichukue
hatua stahiki kwa wale waliohusika katika mchakato mzima wa kununua ardhi iliyosababisha hasara hiyo ya Sh. bilioni 4.17

Watumishi kugawiwa mabilioni kununua hisa vodacom bila riba wala mikataba

CAG anasema..............
Mfuko ulitoa mkopo bila riba wa Sh. bilioni 1.65 kwa watumishi
na Sh. milioni 206 kwa wachangiaji (Members) wengine ili kununua hisa za Vodacom. Hata hivyo, hakukuwa na mikataba kati ya Mfuko na wanufaika hao. Pia, namna ya urejeshwaji wa mikopo iliyotolewa kwa wachangiaji wengine imebaki kuwa
mashakani. Mkopo uliotolewa kwa wachangiaji wengine
ulikuwa kinyume na mafao yaliyoelezwa katika sehemu ya
Sheria ya Pesheni ya NSSF ya mwaka 2015.
Kukosekana kwa mikataba kwa fedha zilizolipwa kwa ununuzi
wa hisa za Vodacom kati ya Mfuko na wanufaika wa mkopo
kunaweka mazingira ya wakopaji kutokurejesha mikopo hiyo.

Hakika nchi hii inaliwa.
 
Mpaka sasa najiuliza kwa nini Spika alikuwa anakwamisha kwa maksudi kuanikwa kwa wizi huu

Katika ripoti ya CAG umeibuliwa ufundo wa hatari

Hasara katika Kununua Ardhi ya Sh. Bilion 4.17

CAG anasema..........Mfuko wa NSSF uliingia mikataba tarehe 16 Septemba 2010 na 12 Oktoba 2010 wa kununua ekari 277 (Muuzaji wa kwanza) na ekari 180 (Muuzaji wa pili) eneo la Kiluvya kwa Sh. bilioni 3.32 na Sh. bilioni 1.62, mtawalia. Kufuatia mapitio ya taarifa ya tathmini ya ekari 277 nilibaini kuwa thamani ya ardhi hiyo kwa
kipindi cha mwezi Oktoba 2010 ilikuwa Sh. milioni 416.40;
wakati makadirio ya thamani ya soko kwa ekari 180 ilikuwa Sh.milioni 720. Kwa hiyo, gharama ya ardhi iliyonunuliwa ilizidishwa kwa kiasi cha Sh. bilioni 2.90 na Sh. milioni 900 mtawalia na hivyo, kusababisha jumla ya hasara kuwa Sh.bilioni 3.80. Nilibaini pia kuwa, muuzaji wa kwanza aliripoti
mauzo yake kwa TRA kwa Sh. milioni 900 badala ya Sh. bilioni
3.32, kwa sababu hiyo kodi (stamp duty) ya Sh. milioni 24.24
haikulipwa.
Zaidi ya hayo, nilibaini hasara nyingine ya Sh. milioni 370
iliyotokana na NSSF kununua ekari 67.4 kwa muuzaji bandia
eneo la Nunge, Bagamoyo. Mahakama ya wilaya katika shauri
la madai shauri Na. 7 la 2003 na Mahakama Kuu katika Rufani
ya Madai ya shauri Na. 7 la 2006 ilibaini kwamba, muuzaji
hakuwa mmiliki wa ardhi ambayo iliuzwa kwa NSSF. Kwa
ujumla, NSSF ilipata hasara ya Sh. bilioni 4.17 katika kununua
ardhi na ililipa kiasi kidogo cha kodi (stamp duty) kwa Sh.
milioni 24.24.
Ninapendekeza kuwa Bodi ya Mfuko na Menejimenti ichukue
hatua stahiki kwa wale waliohusika katika mchakato mzima wa kununua ardhi iliyosababisha hasara hiyo ya Sh. bilioni 4.17

Watumishi kugawiwa mabilioni kununua hisa vodacom bila riba wala mikataba

CAG anasema..............
Mfuko ulitoa mkopo bila riba wa Sh. bilioni 1.65 kwa watumishi
na Sh. milioni 206 kwa wachangiaji (Members) wengine ili kununua hisa za Vodacom. Hata hivyo, hakukuwa na mikataba kati ya Mfuko na wanufaika hao. Pia, namna ya urejeshwaji wa mikopo iliyotolewa kwa wachangiaji wengine imebaki kuwa
mashakani. Mkopo uliotolewa kwa wachangiaji wengine
ulikuwa kinyume na mafao yaliyoelezwa katika sehemu ya
Sheria ya Pesheni ya NSSF ya mwaka 2015.
Kukosekana kwa mikataba kwa fedha zilizolipwa kwa ununuzi
wa hisa za Vodacom kati ya Mfuko na wanufaika wa mkopo
kunaweka mazingira ya wakopaji kutokurejesha mikopo hiyo.

Hakika nchi hii inaliwa.
Aisee ii haijawahi kutokea. Magu mwizi sana pesa zote hizi huishia CCM .

Najiuliza wale TISS ambao Rais Magifuli anajidai kawachomeka kia idara wanafanya kazi gani mbona hawafichui huu uozo??

Au na wao wpigaji tu.
 
Kwani hii ripoti ni ya 2017-2018 au ni ripoti ya miaka kumi?
Ishu ya 2010 lazima iwe ilitoka ripoti za nyuma,kwanini inarudiwa,au kuna mtu anataka kutuchanganya na kutupoteza maboya?
 
Mpaka sasa najiuliza kwa nini Spika alikuwa anakwamisha kwa maksudi kuanikwa kwa wizi huu

Katika ripoti ya CAG umeibuliwa ufundo wa hatari

Hasara katika Kununua Ardhi ya Sh. Bilion 4.17

CAG anasema..........Mfuko wa NSSF uliingia mikataba tarehe 16 Septemba 2010 na 12 Oktoba 2010 wa kununua ekari 277 (Muuzaji wa kwanza) na ekari 180 (Muuzaji wa pili) eneo la Kiluvya kwa Sh. bilioni 3.32 na Sh. bilioni 1.62, mtawalia. Kufuatia mapitio ya taarifa ya tathmini ya ekari 277 nilibaini kuwa thamani ya ardhi hiyo kwa
kipindi cha mwezi Oktoba 2010 ilikuwa Sh. milioni 416.40;
wakati makadirio ya thamani ya soko kwa ekari 180 ilikuwa Sh.milioni 720. Kwa hiyo, gharama ya ardhi iliyonunuliwa ilizidishwa kwa kiasi cha Sh. bilioni 2.90 na Sh. milioni 900 mtawalia na hivyo, kusababisha jumla ya hasara kuwa Sh.bilioni 3.80. Nilibaini pia kuwa, muuzaji wa kwanza aliripoti
mauzo yake kwa TRA kwa Sh. milioni 900 badala ya Sh. bilioni
3.32, kwa sababu hiyo kodi (stamp duty) ya Sh. milioni 24.24
haikulipwa.
Zaidi ya hayo, nilibaini hasara nyingine ya Sh. milioni 370
iliyotokana na NSSF kununua ekari 67.4 kwa muuzaji bandia
eneo la Nunge, Bagamoyo. Mahakama ya wilaya katika shauri
la madai shauri Na. 7 la 2003 na Mahakama Kuu katika Rufani
ya Madai ya shauri Na. 7 la 2006 ilibaini kwamba, muuzaji
hakuwa mmiliki wa ardhi ambayo iliuzwa kwa NSSF. Kwa
ujumla, NSSF ilipata hasara ya Sh. bilioni 4.17 katika kununua
ardhi na ililipa kiasi kidogo cha kodi (stamp duty) kwa Sh.
milioni 24.24.
Ninapendekeza kuwa Bodi ya Mfuko na Menejimenti ichukue
hatua stahiki kwa wale waliohusika katika mchakato mzima wa kununua ardhi iliyosababisha hasara hiyo ya Sh. bilioni 4.17

Watumishi kugawiwa mabilioni kununua hisa vodacom bila riba wala mikataba

CAG anasema..............
Mfuko ulitoa mkopo bila riba wa Sh. bilioni 1.65 kwa watumishi
na Sh. milioni 206 kwa wachangiaji (Members) wengine ili kununua hisa za Vodacom. Hata hivyo, hakukuwa na mikataba kati ya Mfuko na wanufaika hao. Pia, namna ya urejeshwaji wa mikopo iliyotolewa kwa wachangiaji wengine imebaki kuwa
mashakani. Mkopo uliotolewa kwa wachangiaji wengine
ulikuwa kinyume na mafao yaliyoelezwa katika sehemu ya
Sheria ya Pesheni ya NSSF ya mwaka 2015.
Kukosekana kwa mikataba kwa fedha zilizolipwa kwa ununuzi
wa hisa za Vodacom kati ya Mfuko na wanufaika wa mkopo
kunaweka mazingira ya wakopaji kutokurejesha mikopo hiyo.

Hakika nchi hii inaliwa.
Sikiliza ewe mdau, hakuna anayepingana na majukumu ya CAG bali ni anakosa uungwana ktk kauli, anatakiwa atofautishe kati ya lugha za kiprofessional na lugha za wanasiasa. Na ikumbukwe kilichofanyika ktk ukaguzi ni maelekezo ya serikali.
 
Wanajiita usalama wa Taifa lakini ukweli ni kwamba ni usalama wa wahuni, majizi na mafisadi.

Aisee ii haijawahi kutokea. Magu mwizi sana pesa zote hizi huishia CCM .

Najiuliza wale TISS ambao Rais Magifuli anajidai kawachomeka kia idara wanafanya kazi gani mbona hawafichui huu uozo??

Au na wao wpigaji tu.
 
Kama mwaka ni mwaka 2010 ndio ufisadi ulifanyika wa kulaumiwa ni wale waliokuwa madarakani 2010,sasa kwanini hawa wa leo wamogope hizo ripoti?na CAG mwaka 2010 alikuwa nani ndio tuanzia hapo
Alisema atawalinda
Ile statement weh mwenzangu hukuilewa kwani?
The only day tutaupata ukweli kuhusu huu ubadhirifu ni siku ccm ikitoka madarakani otherwise movie itaendelea starring hafi watazamaji ndio watakufa
 
Back
Top Bottom