CAF yamwadhibu kocha wa Senegal – Pape Thiaw

CAF yamwadhibu kocha wa Senegal – Pape Thiaw

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
5,149
Reaction score
14,488
CAF imesema tabia hiyo ni “unacceptable behaviour”.
Thiaw atasimamishwa (suspension), idadi ya mechi bado haijatangazwa.
CAF inachunguza video zote, na kuna uwezekano wa adhabu zaidi kwa maofisa au wachezaji.

My take:
Senegal wanapaswa waondolewe ushiriki wa kombe la dunia maana walionesha ujinga wa hali ya juu.
 
CAF ndio chanzo cha kupanga matokeo huyo refa wao Ndala mechi mbili katoa matuta ya upendeleo dhidi ya Al Ahly vs Raja aliwabeba Al Ahly na Ah Ahly vs Esperance mechi ya 2025 aliwabeba pia Al Ahly mambo hayo hayo ya kuto Tuta dk za mwisho ya upendeleo harafu wanampa mechi ngumu kama hiyo ujue ilikua ina maelekezo...
Watatoa adhabu zote ila chanzo ni wao kushindwa kusimamia mpira kwa kiwango kinachotakiwa wahuni wananunua matokeo.
 
CAF imesema tabia hiyo ni “unacceptable behaviour”.
Thiaw atasimamishwa (suspension), idadi ya mechi bado haijatangazwa.
CAF inachunguza video zote, na kuna uwezekano wa adhabu zaidi kwa maofisa au wachezaji.

My take:
Senegal wanapaswa waondolewe ushiriki wa kombe la dunia maana walionesha ujinga wa hali ya juu.
Mkuu nimeona uzi kule jukwaa la siasa ukisema Senegal ilifuata msimo wa CHADEMA. Minasema niliyoyaona tu. Toba shikio.
 
CAF hii inanikumbusha yaleyale ya FAT ya Ndolanga na Rage 1990's.


Motsepe hatoshi for the presidency
Anaweza kufaa kwenye ukatibu, au ukurugenzi wa fedha na sponsorships , branding ila sio kwenye technical affairs.
 
Back
Top Bottom