Kwahiyo kumbe Yanga walikuwa wanachoma sindano na sio kuhonga waamuzi? Kweli ninyi simba ni kama uchi wa mwanamke akiinama unakuwa sehemu nyingine na akikaa unakuwa pengine na hata akilala unakuwa pengine
Usiwe na wasi wasi; mimi nitagonga basi lao kwa mwendo wa kasi sana wakati wanaenda uwanjani ili kuwapa mshituko na mfadhaiko wa moyo pamoja na majeraha. Usijali kama nitapona kwani gari langu ni kama katapilar; ila ninaweza kufungwa jela lakini sijali kabisa mradi tu Taifa Stars washinde.
Nilifanya kazi yangu nikabutua basi lao likayumba kama linataka kuangukla. Wachezaji walishtuka sana ila jambo jema ni kwamba traffic aliniacha tu kishkaji ila niliwapa wacheazji hao mashituko na mfadhaiko mkubwa sana, tukashinda.