Cabinet reshufle coming tomorrow?!

Cabinet reshufle coming tomorrow?!

I am just thinking loudly, je watoto wa sisi akina yakhe wataibukaje na kuonekana wanafaa kama Januari? Naamini wapo wengi tu na wenye uchungu na nchi hii kuliko hata Januari.
 
Kuteuliwa kwa January Makamba kuongoza Idara ya Mambo ya Nje ya CCM kunaashiria mabadiliko ya haraka ya Baraza la Mawaziri, ambapo Januari atachukua nafasi ya Waziri wa Mambo ya Nje. Hii ni kwa sababu mbili:

-Waziri wa Mambo ya kawaida ndiye Mkuu wa Idara hii ya CCM
-Membe ameondolewa katika idara hii na pia hayumo hata katika Kamati Kuu.

Sitaona ajabu, mbona Celina Kombani ni waziri wa sheria na katiba wakati hata hajui nchi yake imewahi kuwa na katiba ngapi!!
Tanzania mambo yanajiendea tu ovyo ovyo ili mradi tu jamaa yuko anaongozwa na ving'ora.

Wanasema wanawa-deal fisadiz wakati ndo mnawaweka watu wao kwenye UTAJO!!
You are F*&%#@ing i d i o t s.
 
Jamani acheni aende popote huyu mtoto anafaa sn, sijaona MP mwenye mipango yakaribu km huyu mtt, kweli heshima ya manyuzi naamini ataiweka mbele, mm si mpenzi wa CCM ila mtu afanyavyo vizuri lazima tumpe hongera.

Sijaona MP hata mmoja wa CCM ambaye yuko tayari kukataa Lunch box ya 1m na kuwaambia wenzake, kama mwenyekiti hakuwa tayari kupokea 1m km lunch kwani ni hongo, kunachakula gani cha sh. mil. 1, anastahili hata akiwa FM namfagilia sana, naamini nchi itabadilika, wacheni vijana wachukue usukani kwenye jahazi linaloyumba watawasaidia wazee kufika mahali palipokutegemewa.

Mie sikujua kama unaonekana wa maana sana kukataa vijisenti halafu wakati huo huo ukaipigia debe mitambo ya kifisadi ya Dowans iwashwe kwa mkataba wa mabilioni.

JANUARY MAKAMBA: Dalali au Mzalendo?
 
Kuhusu J Makamba sikubaliani na wanaomsifia,bado nammweka kwenye kundi la watu ambao misimamo yao haieleweki

Sawa Kabisa. Mimi simpingi Makamba ila woga wangu ni kwamba huyu kijana hajawa contaminated? Tukumbuke tunaowaita wazee wa CCM hivi sasa na wao walikuwa vijana tena machachari tu laikini kwa kuwa wako CCM wamekumbwa na UCCM.
 
January Makamba mmmm another Makamba hii ni Sawa!

Wewe hujajua tu kuwa CCM ni chama cha KISULTANI. Mbona hujaongelea habari ya Nape Nnauye, Dr. Hussein Mwinyi na wengine wengi ambao wamepata madaraka ndani ya CCM kwa sifa kubwa ya kuwa na "correct sir names"?
 
I am just thinking loudly, je watoto wa sisi akina yakhe wataibukaje na kuonekana wanafaa kama Januari? Naamini wapo wengi tu na wenye uchungu na nchi hii kuliko hata Januari.

Hiyo sio sifa ya msingi kwa anayetaka uongozi ndani ya chama cha CCM ndugu yangu. Kwa sasa kuna sifa kuu mbili za kuwa kiongozi ndani ya hiki chama kikongwe; kwanza ni kuwa na PESA nyingi bila kujali vyanzo a.k.a UFISADI na pili ni kuwa na "correct/recognisable Sir name" kama ilivyo kwa akina Makamba et.al. Nyie watoto wa akina yakhe subirini mtaletewa Tshirts, kofia na Kanga za kijani na njano zenye picha za watoto wa viongozi ili muwapigie KURA waendeleze KULA ya wazazi na familia zao.
 
Hiyo sio sifa ya msingi kwa anayetaka uongozi ndani ya chama cha CCM ndugu yangu. Kwa sasa kuna sifa kuu mbili za kuwa kiongozi ndani ya hiki chama kikongwe; kwanza ni kuwa na PESA nyingi bila kujali vyanzo a.k.a UFISADI na pili ni kuwa na "correct/recognisable Sir name" kama ilivyo kwa akina Makamba et.al. Nyie watoto wa akina yakhe subirini mtaletewa Tshirts, kofia na Kanga za kijani na njano zenye picha za watoto wa viongozi ili muwapigie KURA waendeleze KULA ya wazazi na familia zao.

Marekebisho: ni "Surname"
 
Hiyo sio sifa ya msingi kwa anayetaka uongozi ndani ya chama cha CCM ndugu yangu. Kwa sasa kuna sifa kuu mbili za kuwa kiongozi ndani ya hiki chama kikongwe; kwanza ni kuwa na PESA nyingi bila kujali vyanzo a.k.a UFISADI na pili ni kuwa na "correct/recognisable Sir name" kama ilivyo kwa akina Makamba et.al. Nyie watoto wa akina yakhe subirini mtaletewa Tshirts, kofia na Kanga za kijani na njano zenye picha za watoto wa viongozi ili muwapigie KURA waendeleze KULA ya wazazi na familia zao.

Kwa maana hiyo CCM ni chama cha wachache na hao wachache wanarithishana. Hao ambao hawana majina na hawawezi kurithi chochote huko CCM si waangalie kwingine wakapate madaraka kwa merits kama nadani ya CCM hawatapata? AU na huko kwingine pia kuna kurithishana kama CCM? Kwangu vyama vyote vya siasa Tanzania ni magenge ya wasaka tonge tu! SIVIPENDI!!
 
Sidhani kama January Makamba kaiva kuichukua hiyo nafasi. Lakini kwa kufanya kazi na JK kwa miaka mitano iliyopita inaweza ikawa imemfanya kijana awe mkomavu na kuweza kubkabiliana na mchakamchaka wa ndani ya CCM, chama ambacho kinaelekea kupasuka vipande vipande.

Kakomazwa na nani JK?
 
Kuteuliwa kwa January Makamba kuongoza Idara ya Mambo ya Nje ya CCM kunaashiria mabadiliko ya haraka ya Baraza la Mawaziri, ambapo Januari atachukua nafasi ya Waziri wa Mambo ya Nje. Hii ni kwa sababu mbili:

-Waziri wa Mambo ya kawaida ndiye Mkuu wa Idara hii ya CCM
-Membe ameondolewa katika idara hii na pia hayumo hata katika Kamati Kuu.

Jamani mbona tunasahau haraka hivyo!

Moja ya maazimio ya CCM ni kwamba kazi za Sekretariat zitakuwa full-time.

This is why membe was removed and this is why makamba Jnr can not be appointed Minister.
 
nyoka hawezi kuzaa chura bana! enough with this non sense.. makamba ni makamba tu iwe yusufu au january mtoto wa nyoka nyoka tu period!:nimekataa
 
vipi januari lile bifu lake na bibi mmoja wa marekani limeishia wapi?

na kwa hilo bifu hawezi kuwa waziri..........alikula pesa za yule dada akadhani yuko salama..

 
Kwenye MIZANI ya kumlinganisha Membe na January, I would say, January ni better off
 
nchi hii kikisemwa kitu ujue kitakuwa tu...haya ngoja tuone mwisho wake
 
Acha ushabiki usio na maana alikataa milioni moja kwa uzalendo au kwa kuw Dowans walishamkatia?? Hivi Tanzania ni nchi ya Kifalme??? lazima awepo Kinana, Kigoda, Mwinyi, Makamba Families kila mahala??? maanake hakuna watanzania wengine wenye upeo UPUUZI MTUPU...........

Ndo hapo napo shangaa alafu wanajisifia wamelivua gamba wakati sura ni zile zile toka enzi hizo tunaziona.
 
Unaweza kula sumu kwa sababu hakuna chakula kisha uwashawishi watu kuwa umetumia common sense,
 
lazima TUWE MAKINI!,RAIS HAWEZI FANYA RESHUFLE WAKATI MAWAZIRI WAKIWA BUNGENI NA WENGINÈ WAKIWAKILISHA MISWADA MIPYA....ANAWEZA FANYA RESHUFLE LAKINI SI KAMA MTOA TOPIC ALIVYOWAKILISHA.....IT IS A MATTER OF TIME..HASA BAADA YA HIZO 90 DAYS ALIZOWAPA MAFISADI WENZIE NDANI YA CCM.
 
Kuhusu J Makamba sikubaliani na wanaomsifia,bado nammweka kwenye kundi la watu ambao misimamo yao haieleweki

Msimamo wake kwako haueleweki lakini kwa JK unaeleweka vema na ndio maana kampa ulaji ktk CCM.
 
Back
Top Bottom