Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 260
I am just thinking loudly, je watoto wa sisi akina yakhe wataibukaje na kuonekana wanafaa kama Januari? Naamini wapo wengi tu na wenye uchungu na nchi hii kuliko hata Januari.
Kuteuliwa kwa January Makamba kuongoza Idara ya Mambo ya Nje ya CCM kunaashiria mabadiliko ya haraka ya Baraza la Mawaziri, ambapo Januari atachukua nafasi ya Waziri wa Mambo ya Nje. Hii ni kwa sababu mbili:
-Waziri wa Mambo ya kawaida ndiye Mkuu wa Idara hii ya CCM
-Membe ameondolewa katika idara hii na pia hayumo hata katika Kamati Kuu.
Jamani acheni aende popote huyu mtoto anafaa sn, sijaona MP mwenye mipango yakaribu km huyu mtt, kweli heshima ya manyuzi naamini ataiweka mbele, mm si mpenzi wa CCM ila mtu afanyavyo vizuri lazima tumpe hongera.
Sijaona MP hata mmoja wa CCM ambaye yuko tayari kukataa Lunch box ya 1m na kuwaambia wenzake, kama mwenyekiti hakuwa tayari kupokea 1m km lunch kwani ni hongo, kunachakula gani cha sh. mil. 1, anastahili hata akiwa FM namfagilia sana, naamini nchi itabadilika, wacheni vijana wachukue usukani kwenye jahazi linaloyumba watawasaidia wazee kufika mahali palipokutegemewa.
Kuhusu J Makamba sikubaliani na wanaomsifia,bado nammweka kwenye kundi la watu ambao misimamo yao haieleweki
January Makamba mmmm another Makamba hii ni Sawa!
I am just thinking loudly, je watoto wa sisi akina yakhe wataibukaje na kuonekana wanafaa kama Januari? Naamini wapo wengi tu na wenye uchungu na nchi hii kuliko hata Januari.
Hiyo sio sifa ya msingi kwa anayetaka uongozi ndani ya chama cha CCM ndugu yangu. Kwa sasa kuna sifa kuu mbili za kuwa kiongozi ndani ya hiki chama kikongwe; kwanza ni kuwa na PESA nyingi bila kujali vyanzo a.k.a UFISADI na pili ni kuwa na "correct/recognisable Sir name" kama ilivyo kwa akina Makamba et.al. Nyie watoto wa akina yakhe subirini mtaletewa Tshirts, kofia na Kanga za kijani na njano zenye picha za watoto wa viongozi ili muwapigie KURA waendeleze KULA ya wazazi na familia zao.
Hiyo sio sifa ya msingi kwa anayetaka uongozi ndani ya chama cha CCM ndugu yangu. Kwa sasa kuna sifa kuu mbili za kuwa kiongozi ndani ya hiki chama kikongwe; kwanza ni kuwa na PESA nyingi bila kujali vyanzo a.k.a UFISADI na pili ni kuwa na "correct/recognisable Sir name" kama ilivyo kwa akina Makamba et.al. Nyie watoto wa akina yakhe subirini mtaletewa Tshirts, kofia na Kanga za kijani na njano zenye picha za watoto wa viongozi ili muwapigie KURA waendeleze KULA ya wazazi na familia zao.
Sidhani kama January Makamba kaiva kuichukua hiyo nafasi. Lakini kwa kufanya kazi na JK kwa miaka mitano iliyopita inaweza ikawa imemfanya kijana awe mkomavu na kuweza kubkabiliana na mchakamchaka wa ndani ya CCM, chama ambacho kinaelekea kupasuka vipande vipande.
Kuteuliwa kwa January Makamba kuongoza Idara ya Mambo ya Nje ya CCM kunaashiria mabadiliko ya haraka ya Baraza la Mawaziri, ambapo Januari atachukua nafasi ya Waziri wa Mambo ya Nje. Hii ni kwa sababu mbili:
-Waziri wa Mambo ya kawaida ndiye Mkuu wa Idara hii ya CCM
-Membe ameondolewa katika idara hii na pia hayumo hata katika Kamati Kuu.
vipi januari lile bifu lake na bibi mmoja wa marekani limeishia wapi?
Acha ushabiki usio na maana alikataa milioni moja kwa uzalendo au kwa kuw Dowans walishamkatia?? Hivi Tanzania ni nchi ya Kifalme??? lazima awepo Kinana, Kigoda, Mwinyi, Makamba Families kila mahala??? maanake hakuna watanzania wengine wenye upeo UPUUZI MTUPU...........
Kuhusu J Makamba sikubaliani na wanaomsifia,bado nammweka kwenye kundi la watu ambao misimamo yao haieleweki