C.C.M tukiri udhaifu!!

WW Mwana CCM, jina lako ndio hapa jamvini ni moja ya kileo kinacho walevya hao mafisadi. Wakiona jina lako wanajipa moyo kuwa pamoja na upuuzi wao bado kuna watu wajiita mwana CCM. Ruzuku imepungua sijui kama mwezi ulipita kuna senti ilikuja kwako. Soma alama, achana nao changia mabadiriko.
 

Huyu hajajua ofisi za CHADEMA zilipo. Kichwa kama hiki hakifai ndani ya CCM.
 
msimlaumu...wako wengi wanaoteseka sana na hakuna wa kuwasikiliza hasa baada ya kuuza chama kwa matajiri.....

cha msingi, kama uko kwa kuwahudumia umma, hama chama...chama cha sisiemu si mama yako wala baba yako...alisema nyerere itakuwa wewe?

karibu sana chadema!
 
CCM bajaji zetu vp? wake zetu wanahangaika kwenda kujifungua. Sisi na bajaji, wabunge na milioni 90. CCM Oyeeeeeeee!!!
 
Mwana CCM wewe una akili za ki utu uzima.....HAKIKA...wewe ......SI .....FISADI...I'm SUre
 
Ndugu mwana ccm inaonyesha ni jinsi gani ulivyo mdogo kimaadili kama kweli uko chamani. Tunatarajia kiongozi wa chama tumjue kwa matunda yake na si vingine. Hiyo avatar yako ni disqualification tosha! We utakuwa mpiga debe tu huko. Tutake radhi kwa kupoteza muda wetu
 

Mimi ni mpenzi wa Manchester, ninge mjibia hivyo
 
Unajua wanatii maneno ambayo rais alikuwa akinena kuwa hivi vyama vya msimu, tumpongeze JK kwa kupata chama cha upnzani cha kudumu kisicho cha msimu, nae asiwe na presha maana kapata alichokuwa akiota siku za nyuma sasa hatasema tena kuwa achaneni na vyama vya musimu
 
sauti pweke nyikani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…