Moja ya vitu ambavyo watanzania wa kutoka hapa musoma vijijin wameapa kuvifanyia kazi ni kuhakikisha uchaguzi wa 2015 mkono na ccm yake hapati chochote...hivyo basi wananchi wote wa musoma vijijin tuwe wamoja kwa kuwatosa hawa mafisadi...
tuchague watu makini wasio na mambo yao binafsi...
Ahsante wana jamvi naomba kuwasilisha...............
tuchague watu makini wasio na mambo yao binafsi...
Ahsante wana jamvi naomba kuwasilisha...............