Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 3,579
- 2,906
TunatikiView attachment 3393313
Rais Samia ameongeza dhamana ya mikopo ya TZS 355.3bn kutoka TZS 63bn mwaka 2020 mpaka TZS 418.3bn mwaka 2024 kwa wakulima, sawa na ongezeko la 564%.
Kuna mambo tunaweza tukabishana kweli ila sio Upendo wa Rais Samia Suluhu Hassan Kwa Wakulima wa nchi hii,
Hii mikopo imesaidia Wakulima wengi kuepa Mikopo ya Kausha damu iliyowaacha watupu baada ya Msimu wa kilimo najua hili wote mnafahamu
Bank gani hiyo wana riba nafuu hivyo?Riba za mabenkii ni kubwaa mnoo,,,,unakopa 5M inalipa 10M???
Hapo kijijini kwenu ni wakulima wangapi wamefanikiwa kupata mikopo? Achana na kata kijijini kwenu tuView attachment 3393313
Watanzania ni kweli kuna mambo tunaweza tukabishana ila sio Upendo wa Rais Samia Suluhu Hassan Kwa Wakulima wa nchi hii,
Hebu fikiria Rais Samia ameongeza dhamana ya mikopo ya TZS 355.3bn kutoka TZS 63bn mwaka 2020 mpaka TZS 418.3bn mwaka 2024 kwa wakulima, sawa na ongezeko la 564%.
Hii mikopo imesaidia Wakulima wengi kuepa Mikopo ya Kausha damu iliyowaacha watupu baada ya Msimu wa kilimo najua hili wote mnafahamu
Twende na SamiaView attachment 3393313
Watanzania ni kweli kuna mambo tunaweza tukabishana ila sio Upendo wa Rais Samia Suluhu Hassan Kwa Wakulima wa nchi hii,
Hebu fikiria Rais Samia ameongeza dhamana ya mikopo ya TZS 355.3bn kutoka TZS 63bn mwaka 2020 mpaka TZS 418.3bn mwaka 2024 kwa wakulima, sawa na ongezeko la 564%.
Hii mikopo imesaidia Wakulima wengi kuepa Mikopo ya Kausha damu iliyowaacha watupu baada ya Msimu w na a kilimo najua hili wote mnafahamu
Akumbuke na MABILIONI YA KIKWETEHapo kijijini kwenu ni wakulima wangapi wamefanikiwa kupata mikopo? Achana na kata kijijini kwenu tu
No reforms No Election
SawqView attachment 3393313
Watanzania ni kweli kuna mambo tunaweza tukabishana ila sio Upendo wa Rais Samia Suluhu Hassan Kwa Wakulima wa nchi hii,
Hebu fikiria Rais Samia ameongeza dhamana ya mikopo ya TZS 355.3bn kutoka TZS 63bn mwaka 2020 mpaka TZS 418.3bn mwaka 2024 kwa wakulima, sawa na ongezeko la 564%.
Hii mikopo imesaidia Wakulima wengi kuepa Mikopo ya Kausha damu iliyowaacha watupu baada ya Msimu wa kilimo najua hili wote mnafahamu
Sio kweliBuku 7 oyeeeee
Hii ni kweliView attachment 3393313
Watanzania ni kweli kuna mambo tunaweza tukabishana ila sio Upendo wa Rais Samia Suluhu Hassan Kwa Wakulima wa nchi hii,
Hebu fikiria Rais Samia ameongeza dhamana ya mikopo ya TZS 355.3bn kutoka TZS 63bn mwaka 2020 mpaka TZS 418.3bn mwaka 2024 kwa wakulima, sawa na ongezeko la 564%.
Hii mikopo imesaidia Wakulima wengi kuepa Mikopo ya Kausha damu iliyowaacha watupu baada ya Msimu wa kilimo najua hili wote mnafahamu
Kukuongezea Mkuu hizo ni kodi zetu wananchi, sio za Rais. Pia sio hisani ni haki ya wananchi.Kwani hizo pesa zimetoka mfukoni mwake au serikali ndio imetoa hizo pesa,
Huu unafiki mwingine jamani
SAWA NI HAKI LAKINI MBONA ZAMANI HAWAKUIPATAKukuongezea Mkuu hizo ni kodi zetu wananchi, sio za Rais. Pia sio hisani ni haki ya wananchi