GE2025 Bwege: Wanasema mkubwa hajambi, nchi hii ukitaka kupata taabu kosoa wakubwa

GE2025 Bwege: Wanasema mkubwa hajambi, nchi hii ukitaka kupata taabu kosoa wakubwa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Wakuu

Bwege anasema Nchi hii, ukitaka kupata taabu, kosoa wakubwa. Wanachotaka ni ujikombe kwao; jambo zuri uwapigie makofi, baya pigie makofi. Ameyasema hayo wakati kifanya mahojiano na Mwanahalisi Tv.

"Wanasema mkubwa hajambi, sisi wengine hatuamini tunaamini mkubwa anajamba na anapojamba harufu inatokea, kwahiyo nilivyojaribu sasa kuona kuna hitilafu na makosa nakuanza kusema basi viongozi wakubwa wamekasirika" Kada wa ACT- Wazalendo Seleman Bungara (Bwege).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom