Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Wakuu
Bwege anazidi kutema nyogo, wakati kifanya mahojiano na Mwanahalisi amesema kutokana na uzembe uliofanyw ana chama chake na kupelekea Luhaga Mpina kuenguliwa kugombea Urais umemfanya achukue maamuzi ya kutoshiriki kampeni yoyote ya ACT Wazalendo popote pale hadi pale Mpina atakaporudishwa.
"Kitendo cha mimi kumkosa mgombea Urais, Mheshimiwa Luhaga Mpina kwa uzembe ambao tumefanya sisis ACT makao makuu umenirudisha nyuma na nimetengaza rasmi sishiriki chochote katika kampeni ya Kilwa au sehemu yoyote ya ACT Wazalendo mpaka nijue hatma ya Mh. Mpina. Akirudishwa na mahakama nitashiriki kwa nguvu zote kama asiporudishwa na mahakama sishirki chochote" - Selemani Bungala (Bwege)
Bwege anazidi kutema nyogo, wakati kifanya mahojiano na Mwanahalisi amesema kutokana na uzembe uliofanyw ana chama chake na kupelekea Luhaga Mpina kuenguliwa kugombea Urais umemfanya achukue maamuzi ya kutoshiriki kampeni yoyote ya ACT Wazalendo popote pale hadi pale Mpina atakaporudishwa.
"Kitendo cha mimi kumkosa mgombea Urais, Mheshimiwa Luhaga Mpina kwa uzembe ambao tumefanya sisis ACT makao makuu umenirudisha nyuma na nimetengaza rasmi sishiriki chochote katika kampeni ya Kilwa au sehemu yoyote ya ACT Wazalendo mpaka nijue hatma ya Mh. Mpina. Akirudishwa na mahakama nitashiriki kwa nguvu zote kama asiporudishwa na mahakama sishirki chochote" - Selemani Bungala (Bwege)