kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,207
- 7,364
Umesafiri, haupo nyumbani.
Usiku unampiga simu mke wako umjulie hali hamjaongea kutwa nzima. Ile mmeanza tu kuongea, mara paaap, wife anakwambia kwa papara huku akihema kwa nguvu "samahani baby hebu kata simu mara moja kuna simu ya maana hapa inaingia". Unakata, unasubiri amalize akupigie. Anaongea kwa muda mrefu hadi unapitiwa na usingizi, unalala. Ile unashtuka umpigie, unacheki simu unakuta amekutumia kaujumbe "G9T". Unajaribu kumpigia, unakuta simu yake imezimwa.
Huo usingizi utalalika kweli? Utachukua hatua gan?
Usiku unampiga simu mke wako umjulie hali hamjaongea kutwa nzima. Ile mmeanza tu kuongea, mara paaap, wife anakwambia kwa papara huku akihema kwa nguvu "samahani baby hebu kata simu mara moja kuna simu ya maana hapa inaingia". Unakata, unasubiri amalize akupigie. Anaongea kwa muda mrefu hadi unapitiwa na usingizi, unalala. Ile unashtuka umpigie, unacheki simu unakuta amekutumia kaujumbe "G9T". Unajaribu kumpigia, unakuta simu yake imezimwa.
Huo usingizi utalalika kweli? Utachukua hatua gan?