Kasindogo ya uandikishaji imesababisha wananchi wa wilaya tunduru kulala vituoni kusubiri kupata vitambulisho,kituo kinachoongoza watu kukesha shule ya msingi muungano kwa zaidi ya siku 3 mfululizo,kituo cha stend ya mabasi(tarafani),nakayaya mashariki (cdc).baadhi ya vituo kwa siku wastani uandikishaji ndani siku 3ni chini ya40.na kila kituo kina wapiga kura zaidi 2000.siku za kujiandikisha 7.sijui kama tutafika