respect wa boda
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 4,556
- 3,843
Asante sana mwalimu wangu respect wa boda. Kuhusu hamasa ya mabadiliko kijijini wangu ipo juu sana ndio maana magamba tumeyatokomeza kusikojulikana. Kwa kijiji hichi hata kama kwa siku watandikisha watu2,hakuna mwanakijiji atakaevunjika moyo na kurudi nyumbani Bali ndipo watapozidi kujazana vituoni pamoja na watoto wao. Watapikia hapo hapo vituoni na kulala hapo hapo vituoni. HII NDIO UKEREWE BHANA HATA PIUS MSEKWA ANALIJUA HILO. By the way kamanda wangu Jana nilikuPM kama ulivyonifahamisha lakini naona haukunijibu.
Haikunifikia hiyo PM mkuu kamwe nisingeacha kujibu
Jaribu tena hapa mkuu. Gonga kwenye jina langu then nenda kwenye sehemu iliyoandikwa Send Message kisha andika title halafu andika ujumbe mwisho Submit. Moja kwa moja itakuwa imenifikia.
BACK TANGANYIKA
Last edited by a moderator: