GE2025 Butiku: No reforms no election ni kuvunja katiba ya nchi

GE2025 Butiku: No reforms no election ni kuvunja katiba ya nchi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Five55

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2024
Posts
290
Reaction score
313
Hatimaye Mzee Butiku atofautiana na Mzee Waryoba kuhusu "NO REFORMS NO ELECTION" ya CHADEMA.

Mzee Butiku ambaye ni mwenyekiti wa taasi ya Kigoda cha Mwl Nyerere kupitia Kipindi cha DKT 45 kinachorushwa na runinga ya ITV amewataka CHADEMA kuachana na hoja yao ya kususia uchaguzi kwani kufanya hivyo ni KUVUNJA KATIBA ya nchi,

Hebu msikilize wewe mwenyewe,


 
Hatimaye Mzee Butiku atofautiana na Mzee Waryoba kuhusu "NO REFORMS NO ELECTION" ya CHADEMA.

Mzee Butiku ambaye ni mwenyekiti wa taasi ya Kigoda cha Mwl Nyerere kupitia Kipindi cha DKT 45 kinachorushwa na runinga ya ITV amewataka CHADEMA kuachana na hoja yao ya kususia uchaguzi kwani kufanya hivyo ni KUVUNJA KATIBA ya nchi,

Hebu msikilize wewe mwenyewe,


View attachment 3417207

Huyo kama Polepole au CCM yeyote anayeunga mkono madai halali ya CHADEMA lazima kuuma na kupuliza.

Kwani mlitaka CCM gani apigane vita hii kwa niaba yetu?
 
Hatimaye Mzee Butiku atofautiana na Mzee Waryoba kuhusu "NO REFORMS NO ELECTION" ya CHADEMA.

Mzee Butiku ambaye ni mwenyekiti wa taasi ya Kigoda cha Mwl Nyerere kupitia Kipindi cha DKT 45 kinachorushwa na runinga ya ITV amewataka CHADEMA kuachana na hoja yao ya kususia uchaguzi kwani kufanya hivyo ni KUVUNJA KATIBA ya nchi,

Hebu msikilize wewe mwenyewe,


View attachment 3417207
Mzee ameamua kubalance stori ili wale jamaaa.....
 
Huyo kama Polepole au CCM yeyote anayetaunga mkono madai halali ya CHADEMA lazima kuuma kupuliza.

Kwani mlitaka CCM gani apigane vita hii kwa niaba yetu?
njooni kwenye uchaguzi tuwanyooshe
 
Umemwelewa au unarukia mda tu. Leta dakika zote 45 hapa acha kuleta vipande vinavyokufurahisha wewe

Hatimaye Mzee Butiku atofautiana na Mzee Waryoba kuhusu "NO REFORMS NO ELECTION" ya CHADEMA.

Mzee Butiku ambaye ni mwenyekiti wa taasi ya Kigoda cha Mwl Nyerere kupitia Kipindi cha DKT 45 kinachorushwa na runinga ya ITV amewataka CHADEMA kuachana na hoja yao ya kususia uchaguzi kwani kufanya hivyo ni KUVUNJA KATIBA ya nchi,

Hebu msikilize wewe mwenyewe,


View attachment 3417207
 
Hatimaye Mzee Butiku atofautiana na Mzee Waryoba kuhusu "NO REFORMS NO ELECTION" ya CHADEMA.

Mzee Butiku ambaye ni mwenyekiti wa taasi ya Kigoda cha Mwl Nyerere kupitia Kipindi cha DKT 45 kinachorushwa na runinga ya ITV amewataka CHADEMA kuachana na hoja yao ya kususia uchaguzi kwani kufanya hivyo ni KUVUNJA KATIBA ya nchi,

Hebu msikilize wewe mwenyewe,


View attachment 3417207
CHADEMA SASA KILA MTU HAWATAKI
 
CHADEMA uelewa wao ni mdogo sana na hasa mwenyekiti wao

Wewe dogo una umri gani...!?? Hizo ahadi hazijaanza kutolewa leo. Zilitolewa pia wakati wa Mkapa na pia Kikwete.

Kama ni kuvunja katiba tayari CCM wameshsivunja na wanaendelea kuivunja kila siku. Mzee Butiku angeanzia hapo.

Kwa nini tusilekebishe kwanza ndiyo twende kwenye uchaguzi. Uchaguzi siyo lazima ufanyike October kama kweli kuna nia ya kurekebisha.
 
Ikumbukwe chaguzi tangia nyakati za giza za Amerika ya kusini mpaka Afrika na utatu wa damu wa Ulaya ya stalin wa Urusi,hitler wa Ujerumani na musolin wa Italia na majuzi Ufilipino kwa frednando marcos chini ya sheria za kijeshi (marshal law) na Chile chini augutino pinochet ikiongozwa kama dola ya kipolosi ( police state) watu walifanya chaguzi lakini hazikuwa wazi,haki na huru.
Hivyo kunachohubiriwa na NRNE ni 'creditibilities' za uchaguzi.sifa njema za uchaguzi.siyo chaguzi zilizojaa hila,rushwa na uchafu mwingine.
Kila aliye timamu na kumwogopa mwenyezi Mungu anaziona wazi kasoro za uhalali wa kupata viongozi wetu tunaowataka kidemokrasia kwa uwazi,kwa haki na tukiwa huru.
Ndicho mzee Butiku anasema kwamba kupinga uchaguzi huru,wazi nawa haki ni kuvunja katiba na sheria.Lakini kupinga uchaguzi wa hovyo unaotumia katiba na rasilimali za nchi kupata uhalali hilo halikubaliki.tusifike huko.KWA NINI LAKINI ????.
Mzee Nyerere aliwahi kusema ukaburu siyo rangi ya mtu.ukaburu ni tabia.unaweza kukuta unaletewa mambo ya kikaburu na mswahili mwenzako.
Kwa mtu mzalendo,anayeipenda nchi yake na watu,mkweli,msikivu.mwenye maono na haendeshwi na kikundi nk inachukua saa ngapi kukaa na wadau kuandaa taratibu bora za uchaguzi nchini?.
Mzee Nelson Mandela aliposafiri na mwachia chief Butelezi (mpinzani) kukaimu urais alisema kwamba ingekuwa ni rahisi kila Mwafrika kusini awe rais hata kwa siku moja.
Wananchi wana haki isiyohamishika ya kuchagua watu wanaowataka ili kwa niaba yao wakasimamie utangamano wa nchi na jumuiya ya kimataifa,serikali na rasilimali zao kwa manufaa na ustawi wao katika nchi yao.
Kwa nini tuzidiwe na watu
wa mpira na michezo mingine???.
Kama Taifa kwa manufaa ya Taifa letu,kanda na Afrika tuangalie mbele tuandae uwanja wa uchaguzi huru,haki na wenye kuaminika.NRNE ni kwa chaguzi za ovyo ambazo haziwahakikishii wanachi maamuzi yao zilizondaliwa kwa hila kutimiza matakwa ya kikundi kwa kutumia katiba na sheria zetu kama kichaka.ndicho alichomaanisha Butiku na wengine wenye mapenzi mema na wazalendo.Mungu ibariki nchi yetu.
 
Wewe dogo una umri gani...!?? Hizo ahadi hazijaanza kutolewa leo. Zilitolewa pia wakati wa Mkapa na pia Kikwete.

Kama ni kuvunja katiba tayari CCM wameshsivunja na wanaendelea kuivunja kila siku. Mzee Butiku angeanzia hapo.

Kwa nini tusilekebishe kwanza ndiyo twende kwenye uchaguzi. Uchaguzi siyo lazima ufanyike October kama kweli kuna nia ya kurekebisha.
MSIKILIZE VIZURI MZEE BUTIKU
 
Back
Top Bottom