Hajapelekwa mtu na fuso hapo
Hiyo ndio nguvu halisi ya umma
When did that happen??
Kaka waongo hawa mimi niko na msafara hakuna hiyo makitu
Tatizo ni kuwa hata wewe itakuwa ngumu kuaminika maana tayari umeisha onesha uko kwa maslahi ya upande upi! ukiwa kama mwandishi wa habari ( kama ni kweli) hutakiwi kuonesha hisia zako wazi wazi vinginevyo habari zako zitakuwa "biase"!Ukiona chama kinafikia kutunga uongo jua hali tete