Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Jana jioni nikiwa na kazi muhimu umeme umenisumbua sana ile kukatika katika mara kadhaa kwenye majira ya jioni ilikuwa ni kero kubwa. Ilinifanya nikumbuke shida yote hii ilianzia kwenye Richmond. Iwapo ile tume iliyoongozwa kwa Mbwembwe na Dr Mwakyembe na Makamu wake Stella Manyanya ingefanya kazi yake na kuweka ukweli hadharani basi tusingefika kuingia kwenye hizi shida za umeme wa mgao kwa taifa hili lenye zaidi ya miaka 50 ya uhuru ifikiapo Dec 9 mwaka huu.
Mwakyembe na Stella Manyanya kwa sababu zao, kuna taarifa hawakuweka wazi, shida ya umeme imeendelea kuwepo mpaka sasa, nafasi zao zina wasuta hawakuwatendea haki watanzania wenzao kwa kutumia kodi yetu. Sawa Mzee wa Monduli aliachia ngazi kwa kustaafu kutokana na ajali ya kisiasa.
Lakini bado tuna shida ya umeme na jamaa hawa Dowans na Symbion wamezaliwa. Hii ni kutokana na kukosekana kwa uzalendo wa ile kamati kuficha baadhi ya taarifa muhimu kwa taifa. Matokeo ya hawa jamaa kumpa shavu Mh wa Msonga naye amewapa mabusu Mwakyembe kwa kazi ya kinafiki ni naibu waziri wa miundo mbinu na ujenzi na busu la Stella Manyanya eti Eng ni Ukuu wa mkoa wa Rukwa lol! Kwa kazi nzuri ya kuficha ukweli kwenye serikali ya kisanii.
Tabia ya kusema kile wasichoakiamini mioyoni mwao, bali kufurahisha wasikilizaji hiki ndicho kinachomsumbua Mh Mwakyembe ooohh nataka uawawa! Mnafiki huyu, Mimi nimewekewa sumu, ooohhh mimi kwangu ni muongo anatafuta faraja ya moyo wake kwa kutulaghai watanzania kwa kuficha kwake taarifa muhimu za uchunguzi wa Richmond
Binafasi sina msamaha na ile kamati
Tanzania haitakiwi iwe gizani, leo hii thamani ya shs yetu inashuka, inflation inakaribia kuzidi ile ya Zimbabwe, kumbukeni hao jamaa hawana hata mgao wa umeme.
Nina hasira sana na hizi taratibu zetu za kimfumo.
Rev Fr Masa K
Mwakyembe na Stella Manyanya kwa sababu zao, kuna taarifa hawakuweka wazi, shida ya umeme imeendelea kuwepo mpaka sasa, nafasi zao zina wasuta hawakuwatendea haki watanzania wenzao kwa kutumia kodi yetu. Sawa Mzee wa Monduli aliachia ngazi kwa kustaafu kutokana na ajali ya kisiasa.
Lakini bado tuna shida ya umeme na jamaa hawa Dowans na Symbion wamezaliwa. Hii ni kutokana na kukosekana kwa uzalendo wa ile kamati kuficha baadhi ya taarifa muhimu kwa taifa. Matokeo ya hawa jamaa kumpa shavu Mh wa Msonga naye amewapa mabusu Mwakyembe kwa kazi ya kinafiki ni naibu waziri wa miundo mbinu na ujenzi na busu la Stella Manyanya eti Eng ni Ukuu wa mkoa wa Rukwa lol! Kwa kazi nzuri ya kuficha ukweli kwenye serikali ya kisanii.
Tabia ya kusema kile wasichoakiamini mioyoni mwao, bali kufurahisha wasikilizaji hiki ndicho kinachomsumbua Mh Mwakyembe ooohh nataka uawawa! Mnafiki huyu, Mimi nimewekewa sumu, ooohhh mimi kwangu ni muongo anatafuta faraja ya moyo wake kwa kutulaghai watanzania kwa kuficha kwake taarifa muhimu za uchunguzi wa Richmond
Binafasi sina msamaha na ile kamati
Tanzania haitakiwi iwe gizani, leo hii thamani ya shs yetu inashuka, inflation inakaribia kuzidi ile ya Zimbabwe, kumbukeni hao jamaa hawana hata mgao wa umeme.
Nina hasira sana na hizi taratibu zetu za kimfumo.
Rev Fr Masa K