Kwa nimi navyojua...hii bustani ilikuwepo duniani...wachunguzi wanasema ilipatikana maeneo ya Middle East hasa hasa Iraq....
Ila kwa sasa haipo hiyo bustani ilishaharibika.
Ipo Iraq. Ukisoma Biblia, bustani ya Eden ilikuwa katikati ya mto Frati na Tigris. Tazama ramani yako utaona mito hiyo (Euphrates and Tigris). Ila kwa leo hakuna Bustani maana baada ya dhambi ulimwengu huu umeharibiwa vibaya...
Kwa nimi navyojua...hii bustani ilikuwepo duniani...wachunguzi wanasema ilipatikana maeneo ya Middle East hasa hasa Iraq....
Ila kwa sasa haipo hiyo bustani ilishaharibika.
Ipo Iraq. Ukisoma Biblia, bustani ya Eden ilikuwa katikati ya mto Frati na Tigris. Tazama ramani yako utaona mito hiyo (Euphrates and Tigris). Ila kwa leo hakuna Bustani maana baada ya dhambi ulimwengu huu umeharibiwa vibaya...