Business proposal kwa kampuni za simu na benki

Business proposal kwa kampuni za simu na benki

Joined
Dec 6, 2011
Posts
32
Reaction score
6
Natafuta kampuni ambayo inaweza kununua idea/ wazo la kibiashara katika kampuni yoyote ya simu au benk. Business oppotunity hii ni kwa makubaliano moja kati ya haya

1.kununua wazo au idea hii.

2.kuwa sehemu ya wafanyakazi katika kampuni hiyo kwani nina vigezo vyote vya kuajiliwa hususani kujituma, mbunifu mwenye mawazo chanya na ya kimaendeleo

Pia nina degree ya Public Relations and Marketing na uzoefu wa kufanya kazi kwa mikataba ya muda mfupi kwaajili ya masomo katka kampuni mbalimbali kwa sasa nimemaliza chuo hivyo niko huru kufanya kazi popote ndani na nje ya Tanzania

michaelkomba48@yahoo.com

Tel. 0655 997254
WhatsApp. 0655 997254
Insatergram. Tido1_chido
FB/ twitter/ . Michael komba


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom