Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Thread clossed+255 679 923 016 DAB
+255 718 101 748 Luge
*piga kuanzia SAA mbili usiku
Sent using Jamii Forums mobile app
TISS huyu anakusaka+255 679 923 016 DAB
+255 718 101 748 Luge
*piga kuanzia SAA mbili usiku
Sent using Jamii Forums mobile app
acha uhuni watu tupo serious+255 679 923 016 DAB
+255 718 101 748 Luge
*piga kuanzia SAA mbili usiku
Sent using Jamii Forums mobile app
Saint Ivuga na wewe ni mshamba kiasi hiki? Unamwita ''boss Ruge'' ni bosi wako? Kwa kuwa watangazaji wake wanamwita ''boss Ruge'' basi na wabongo wote wamefuata mkumbo na kumwita ''boss Ruge''. Au mnafikiria hilo neno ''boss'' ni jina? Nchi ya kukariri na kufuata mkumbo!Wadau hapa JF kuna kila aina ya watu. kua kipindi nilikuwa nchi za watu nikaomba msaada wa namba za mwalimu wangu wa Secondary ambaye alishakuwa Headmaster. na nilizipata kupitia hapa hap JF na nilipewa na mwanafunzi ambaye alikuwa bado shuleni.
sasa wadau naombeni msaada wenu nahitaji contact za Mh Makonda na Boss Ruge ..either iwe e mail ama namba ya simu ya whatsapp.
ikiwezekana hata pm nitashukuru
Thank you with all respect
haaaa haaa Boss makondaSaint Ivuga na wewe ni mshamba kiasi hiki? Unamwita ''boss Ruge'' ni bosi wako? Kwa kuwa watangazaji wake wanamwita ''boss Ruge'' basi na wabongo wote wamefuata mkumbo na kumwita ''boss Ruge''. Au mnafikiria hilo neno ''boss'' ni jina? Nchi ya kukariri na kufuata mkumbo!
mbona nyie humu jamii forum mnaitana MKUUSaint Ivuga na wewe ni mshamba kiasi hiki? Unamwita ''boss Ruge'' ni bosi wako? Kwa kuwa watangazaji wake wanamwita ''boss Ruge'' basi na wabongo wote wamefuata mkumbo na kumwita ''boss Ruge''. Au mnafikiria hilo neno ''boss'' ni jina? Nchi ya kukariri na kufuata mkumbo!
Vitu viwili tofauti kabisa unafananisha!mbona nyie humu jamii forum mnaitana MKUU