Business card ya Boss Ruge na Mhe. Makonda

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,377
58,384
Wadau hapa JF kuna kila aina ya watu. kua kipindi nilikuwa nchi za watu nikaomba msaada wa namba za mwalimu wangu wa Secondary ambaye alishakuwa Headmaster. na nilizipata kupitia hapa hap JF na nilipewa na mwanafunzi ambaye alikuwa bado shuleni.

sasa wadau naombeni msaada wenu nahitaji contact za Mh Makonda na Boss Ruge ..either iwe e mail ama namba ya simu ya whatsapp.
ikiwezekana hata pm nitashukuru

Thank you with all respect
 
Wadau hapa JF kuna kila aina ya watu. kua kipindi nilikuwa nchi za watu nikaomba msaada wa namba za mwalimu wangu wa Secondary ambaye alishakuwa Headmaster. na nilizipata kupitia hapa hap JF na nilipewa na mwanafunzi ambaye alikuwa bado shuleni.

sasa wadau naombeni msaada wenu nahitaji contact za Mh Makonda na Boss Ruge ..either iwe e mail ama namba ya simu ya whatsapp.
ikiwezekana hata pm nitashukuru

Thank you with all respect
Saint Ivuga na wewe ni mshamba kiasi hiki? Unamwita ''boss Ruge'' ni bosi wako? Kwa kuwa watangazaji wake wanamwita ''boss Ruge'' basi na wabongo wote wamefuata mkumbo na kumwita ''boss Ruge''. Au mnafikiria hilo neno ''boss'' ni jina? Nchi ya kukariri na kufuata mkumbo!
 
Mkuu before hujapiga hizo namba hakikisha kwanza ndo zake utakuta jamaa kakuwekea setup uingie kingi akubane mbavu kama Roma
 
Saint Ivuga na wewe ni mshamba kiasi hiki? Unamwita ''boss Ruge'' ni bosi wako? Kwa kuwa watangazaji wake wanamwita ''boss Ruge'' basi na wabongo wote wamefuata mkumbo na kumwita ''boss Ruge''. Au mnafikiria hilo neno ''boss'' ni jina? Nchi ya kukariri na kufuata mkumbo!
mbona nyie humu jamii forum mnaitana MKUU
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom