Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Wadau hapa JF kuna kila aina ya watu. kua kipindi nilikuwa nchi za watu nikaomba msaada wa namba za mwalimu wangu wa Secondary ambaye alishakuwa Headmaster. na nilizipata kupitia hapa hap JF na nilipewa na mwanafunzi ambaye alikuwa bado shuleni.
sasa wadau naombeni msaada wenu nahitaji contact za Mh Makonda na Boss Ruge ..either iwe e mail ama namba ya simu ya whatsapp.
ikiwezekana hata pm nitashukuru
Thank you with all respect
sasa wadau naombeni msaada wenu nahitaji contact za Mh Makonda na Boss Ruge ..either iwe e mail ama namba ya simu ya whatsapp.
ikiwezekana hata pm nitashukuru
Thank you with all respect