kuna mtu aliwahikusema kusema kuwa huyu jamaa ana kichwa cha nazi, ni sahihi kabisa. Dharau za namna hii ndo nyerere alizikataa kama cjasahu aliwahi kusalimia malkia wa uk kwa kutumia kifimbo chake baada ya malkia kumsalimia akiwa kava gloves. Huyu kweli hamnazo kabisaaaaaaa.