Kipala wakati mwengine unachozungumza kiko out of Point tunamzungumzia huyu Shetani mkuu wa karne hii George bush hatuzungumzii matatizo ya Nchi za Afghanistan (eneo la Taliban), Saudia (nchi ya hajj na Makka), Misri . . . . . . Somalia? hebu anzisha Topic za hizi nchi utajibiwa Bwana . Tunachosema madhambi ya bush aliyoyafanya huko Iraq katu hatutosahau bush kauwa Raia wa iraq wapatao Millioni moja yeye huyo Bush akishirikiana na Shetani Mwenzie mkubwa Tony Blair Damu za ndugu zetu wa iraq kamwe hazitosahaulika na Mlipaji mkuu wa hizo Damu ni Mwenyeezi Mungu.