Busara za Polepole

wanasema upaswi kumwamini shetani hata akisema ukweli.
si ndio yeye aliupinga ukuu wa wilaya wakati wa katiba mpya leo kaupokea kwa mikono miwili kesho akipewa mamlaka zaidi ataipinga katiba yote ya warioba kweli tuna safari ndefu ya kupata viongozi bora
 
hayo yote uliyoandika hapo utekelezaji unaishia hapo-hapo kwenye makaratasi ya Polepole.

Hebu mtaarifuni bwana Polepole kuwa twangapepeta halina mwenyewe,
Anapigia mbuzi gitaa
 
Usitegemee kitu chochote cha maana kwa mtu mnafiki!!! Hawezi kuwa na la maana huyo!! Kijana mdogo ambaye unaendeshwa na tumbo huwezi kuwa na maono ya mbali zaidi ya kufikiri kwa tumbo na kutenda kwa masaburi!!!!
Hatutawatukana tena kwamba nyie ni nyumbu,hahahaha
 
Kifupi polepole anaandaliwa kuwa kiongozi MKUBWA.lakini polepole utafanikiwa Na huku mafisi wamejaa CCM Na bado hamuwawezi .kuna watu CCM wamekalia nafasi za uongozi wanakula free.marafiki wa kikwete bado wapo kwenye system ya utendaji
 
wanasema upaswi kumwamini shetani hata akisema ukweli.
si ndio yeye aliupinga ukuu wa wilaya wakati wa katiba mpya leo kaupokea kwa mikono miwili kesho akipewa mamlaka zaidi ataipinga katiba yote ya warioba kweli tuna safari ndefu ya kupata viongozi bora
Lakini ulivyo mpumbavu unaiamini Chadema
 
wanasema upaswi kumwamini shetani hata akisema ukweli.
si ndio yeye aliupinga ukuu wa wilaya wakati wa katiba mpya leo kaupokea kwa mikono miwili kesho akipewa mamlaka zaidi ataipinga katiba yote ya warioba kweli tuna safari ndefu ya kupata viongozi bora
Polepole ni mkuu wa wilaya ipi?
 
*NUKUU ZA KATIBU MUENEZI CCM TAIFA COMRADE HUMPHREY POLEPOLE LEO KATIKA DARASA LA ITIKADI-TEMEKE*

31/12/2016
Na:
Comrade Alexander Mhando.
Mzalendo.

"Chama cha Mapinduzi ni chama cha watu kutoka kuanzishwa kwake na ndio muelekeo wake"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tunataka mwanachama wa chama cha Mapinduzi awe kwa matendo yake ukimtazama tu unajua huyu ni mwanachama wa CCM kwa matendo na imani yake"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tunapoongeza kiwango cha kusema kweli kwa watanzania kila siku wananchi wataongeza imani kwetu"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Fitina isiwe sehemu yetu wala njia ya kutumia kuwadanganya wananchi ili kupata uongozi, fitina tuwaachie wao"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Chama chetu CCM tujitenge na Rushwa"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Hakuna ibada bora kama kuwatumikia watu"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Mtu atakayekuja kuomba kura na uongozi ndani ya chama chetu kwa pesa zake, mali zake, au umaarufu wake usio na tija kwa chama chetu tumkatae"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tusivune utajili kwa kuwanyonya watu kwani mnuonyaji hana tofauti na mkoloni"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"WanaCCM lazima tuweze kuyachambua mambo na kuweza kuyaelezea kwa watu kwa lugha nyepesi yakueleweka"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

""Tunazungumza mageuzi , hii ni kazi ngumu, sio kazi ya mtu mmoja bali ni kazi ya sisi wanachama wote kwa pamoja"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Rushwa ni adui wa haki na haina future kwani sifa yake kubwa ni kuiba, kuharibu, kupotosha, kuumiza watu, kubomoa taifa, na kubomoa familia"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Kwenye mitandao ya kijamii wakitutukana tuseme ASANTE, na kuwaambia sio kosa lao"..Humphrey Polepole - TEMEKE(31/12/2016)

"Tusiwatukane watu na tusiwaite watu NYUMBU bali tuache matendo yao yaoneshe wao ni nyumbu kwani huo ndio utu"..Humphrey Polepole - TEMEKE(31/12/2016)

"Tushindane kwa hoja, nguvu ya hoja sio hoja ya nguvu kama fitina na kuwakashfu wengine hiyo sio utamaduni wa CCM".."Chama cha Mapinduzi ni chama cha watu kutoka kuanzishwa kwake ndio muelekeo wake"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tunataka mwanachama wa chama cha Mapinduzi awe kwa matendo yake ukimtazama tu unajua huyu ni mwanachama wa CCM kwa matendo na imani yake"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tunapoongeza kiwango cha kusema kweli kwa watanzania kila siku wananchi wataongeza imani kwetu"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Fitina isiwe sehemu yetu wala njia ya kutumia kuwadanganya wananchi ili kupata uongozi, fitina tuwaachie wao"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Chama chetu CCM tujitenge na Rushwa"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Hakuna ibada bora kama kuwatumikia watu"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Mtu atakayekuja kuomba kura na uongozi ndani ya chama chetu kwa pesa zake, mali zake, au umaarufu wake usio na tija kwa chama chetu tumkatae"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tusivune utajili kwa kuwanyonya watu kwani mnuonyaji hana tofauti na mkoloni"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"WanaCCM lazima tuweze kuyachambua mambo na kuweza kuyaelezea kwa watu kwa lugha nyepesi yakueleweka"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

""Tunazungumza mageuzi , hii ni kazi ngumu, sio kazi ya mtu mmoja bali ni kazi ya sisi wanachama wote kwa pamoja"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Rushwa ni adui wa haki na haina future kwani sifa yake kubwa ni kuiba, kuharibu, kupotosha, kuumiza watu, kubomoa taifa, na kubomoa familia"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Kwenye mitandao ya kijamii wakitutukana tuseme ASANTE, na kuwaambia sio kosa lao"..Humphrey Polepole - TEMEKE(31/12/2016)

"Tusiwatukane watu na tusiwaite watu NYUMBU bali tuache matendo yao yaoneshe wao ni nyumbu kwani huo ndio utu"..Humphrey Polepole - TEMEKE(31/12/2016)

"Uanachama wako, imani yako kwa chama ,bidii na sifa yako ndio iwe kigezo cha kuwa kiongozi ndani ya chama".."Chama cha Mapinduzi ni chama cha watu kutoka kuanzishwa kwake ndio muelekeo wake"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tunataka mwanachama wa chama cha Mapinduzi awe kwa matendo yake ukimtazama tu unajua huyu ni mwanachama wa CCM kwa matendo na imani yake"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tunapoongeza kiwango cha kusema kweli kwa watanzania kila siku wananchi wataongeza imani kwetu"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Fitina isiwe sehemu yetu wala njia ya kutumia kuwadanganya wananchi ili kupata uongozi, fitina tuwaachie wao"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Chama chetu CCM tujitenge na Rushwa"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Hakuna ibada bora kama kuwatumikia watu"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Mtu atakayekuja kuomba kura na uongozi ndani ya chama chetu kwa pesa zake, mali zake, au umaarufu wake usio na tija kwa chama chetu tumkatae"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tusivune utajili kwa kuwanyonya watu kwani mnuonyaji hana tofauti na mkoloni"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"WanaCCM lazima tuweze kuyachambua mambo na kuweza kuyaelezea kwa watu kwa lugha nyepesi yakueleweka"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

""Tunazungumza mageuzi , hii ni kazi ngumu, sio kazi ya mtu mmoja bali ni kazi ya sisi wanachama wote kwa pamoja"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Rushwa ni adui wa haki na haina future kwani sifa yake kubwa ni kuiba, kuharibu, kupotosha, kuumiza watu, kubomoa taifa, na kubomoa familia"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Kwenye mitandao ya kijamii wakitutukana tuseme ASANTE, na kuwaambia sio kosa lao"..Humphrey Polepole - TEMEKE(31/12/2016)

"Tusiwatukane watu na tusiwaite watu NYUMBU bali tuache matendo yao yaoneshe wao ni nyumbu kwani huo ndio utu"..Humphrey Polepole - TEMEKE(31/12/2016)

"Huu ujumbe wa mageuzi lazima uwe na mabomba mawili moja liende kwa viongozi na mmoja kwa wanachama"..
"Chama cha Mapinduzi ni chama cha watu kutoka kuanzishwa kwake ndio muelekeo wake"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tunataka mwanachama wa chama cha Mapinduzi awe kwa matendo yake ukimtazama tu unajua huyu ni mwanachama wa CCM kwa matendo na imani yake"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tunapoongeza kiwango cha kusema kweli kwa watanzania kila siku wananchi wataongeza imani kwetu"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Fitina isiwe sehemu yetu wala njia ya kutumia kuwadanganya wananchi ili kupata uongozi, fitina tuwaachie wao sio sisi CCM "..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Chama chetu CCM tujitenge na Rushwa"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Hakuna ibada bora kama kuwatumikia watu"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Mtu atakayekuja kuomba kura na uongozi ndani ya chama chetu kwa pesa zake, mali zake, au umaarufu wake usio na tija kwa chama chetu tumkatae"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tusivune utajili kwa kuwanyonya watu kwani mnuonyaji hana tofauti na mkoloni"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"WanaCCM lazima tuweze kuyachambua mambo na kuweza kuyaelezea kwa watu kwa lugha nyepesi yakueleweka"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

""Tunazungumza mageuzi , hii ni kazi ngumu, sio kazi ya mtu mmoja bali ni kazi ya sisi wanachama wote kwa pamoja"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Rushwa ni adui wa haki na haina future kwani sifa yake kubwa ni kuiba, kuharibu, kupotosha, kuumiza watu, kubomoa taifa, na kubomoa familia"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Kwenye mitandao ya kijamii wakitutukana tuseme ASANTE, na kuwaambia sio kosa lao"..Humphrey Polepole - TEMEKE(31/12/2016)

"Tusiwatukane watu na tusiwaite watu NYUMBU bali tuache matendo yao yaoneshe wao ni nyumbu kwani huo ndio utu"..Humphrey Polepole - TEMEKE(31/12/2016)

...KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI...
kwahiyo una maana kwamba harakaharaka ana busara? unajua maana ya busara lakini?
 
"Tusiwatukane watu na tusiwaite watu NYUMBU bali tuache matendo yao yaoneshe wao ni nyumbu kwani huo ndio utu"..Humphrey Polepole - TEMEKE(31/12/2016)
Binaadamu kumfananisha na nyumbu sio kabisa asante kwa kuliona ilo
 
Too late bwana polepole,sasa hivi wananchi hawaitaki ccm tena.
Unachoomba ni huruma bayo tayari wananchi hawako tayari kuongopewa tena.
Utayakumbuka maneno haya.
 
Sahihisha hapo!...labda ulikuwa una maanisha kujing'oa madarakani.

Hakuna chama kwenye sura hii ya dunia kitatawala milele hata kama sio 2020 unachopaswa kujua ni kuwa iko siku CCM hakitaweza kuunda serikali na nwisho huo uko jirani kuliko wewe unavyojiaminisha
 
Back
Top Bottom