wanasema upaswi kumwamini shetani hata akisema ukweli.
si ndio yeye aliupinga ukuu wa wilaya wakati wa katiba mpya leo kaupokea kwa mikono miwili kesho akipewa mamlaka zaidi ataipinga katiba yote ya warioba kweli tuna safari ndefu ya kupata viongozi bora
si ndio yeye aliupinga ukuu wa wilaya wakati wa katiba mpya leo kaupokea kwa mikono miwili kesho akipewa mamlaka zaidi ataipinga katiba yote ya warioba kweli tuna safari ndefu ya kupata viongozi bora