Heaven Ambassador
Member
- Oct 27, 2017
- 91
- 94
Na madikteta je, Wana akili au hawana?Magaidi huwa na busara mno angalia mfano wa Osama
Miaka 61 ni kijana!!??Huyu Freeman Ni Lini Kawa Mzee..? Msimzeeshe jamani!! Bado janki Kabisa..!
Wehu na warupukajiNa madikteta je, Wana akili au hawana?
Dhana ya vyama vya upinzani Mbowe hakuielewa ipasavyo. Yeye anaamini ni vyama vya ukombozi vya kuking'oa chama tawala kwa kukipinga kila kitu na kufanya kila aina ya ghasia, fujo na maandamano yasiyo na kikomo nchi nzima hadi chama hicho tawala kiondoke madarakani. Kakusanya na kuajiri hadi makomandoo waliofukuzwa jeshini kwa matatizo ya brain syndromes (fyatu wa akili) ili kumsaidia kutimiza dhana yake hiyo ya ukombozi. Tunatumaini atakapotoka kwa Bwana Jela atakuwa ameielewa vizuri dhana nzima ya vyama vya upinzani na demokrasia.
Utaahira huanza hivi hviMagaidi huwa na busara mno angalia mfano wa Osama
Wakati mwingine muwe na aibu kidogo kuonyesha upumbavu wenu mbele za watu.Magaidi huwa na busara mno angalia mfano wa Osama
Kuna watu wa ajabu sana Tanzania yetu hii.Daaaah!!!
Nasikitika kwa kuona una ID ya Dr Akili lakini u kilaza wa kutupwa.
Mosi, wanajeshi wale "wastaafu" si fyatu kama ulivyoandika. Wale wana kitu inaitwa "post-traumatic stress disorder" au PTSD kwa kifupi.
Pili, Mbowe hapiganii kuking'oa CCM madarakani, bali anapigania utawala bora utakaopelekea Watanzania wote kunufaika na keki ya taifa.
Tatu, Mbowe hakuwa anawaajiri kwa ajili ya "kumsaidia kumsaidia kutulimiza dhana yake hiyo ya ukombozi".
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Wahuni mmevamia uziDhana ya vyama vya upinzani Mbowe hakuielewa ipasavyo. Yeye anaamini ni vyama vya ukombozi vya kuking'oa chama tawala kwa kukipinga kila kitu na kufanya kila aina ya ghasia, fujo na maandamano yasiyo na kikomo nchi nzima hadi chama hicho tawala kiondoke madarakani. Kakusanya na kuajiri hadi makomandoo waliofukuzwa jeshini kwa matatizo ya brain syndromes (fyatu wa akili) ili kumsaidia kutimiza dhana yake hiyo ya ukombozi. Tunatumaini atakapotoka kwa Bwana Jela atakuwa ameielewa vizuri dhana nzima ya vyama vya upinzani na demokrasia.
Nyie ndio Samia amejiapiza kudeal na nyie sukuma gangsDhana ya vyama vya upinzani Mbowe hakuielewa ipasavyo. Yeye anaamini ni vyama vya ukombozi vya kuking'oa chama tawala kwa kukipinga kila kitu na kufanya kila aina ya ghasia, fujo na maandamano yasiyo na kikomo nchi nzima hadi chama hicho tawala kiondoke madarakani. Kakusanya na kuajiri hadi makomandoo waliofukuzwa jeshini kwa matatizo ya brain syndromes (fyatu wa akili) ili kumsaidia kutimiza dhana yake hiyo ya ukombozi. Tunatumaini atakapotoka kwa Bwana Jela atakuwa ameielewa vizuri dhana nzima ya vyama vya upinzani na demokrasia.
Rolemodel wa Amani, Umoja na upendo Tanzania.Hata Kama mengine wanamuonea~ alisikika mama mmoja wa zaidi ya miaka 50 akisema. Namkumbuka mama yule aliesema hatopiga kura mpaka barabara ya mkoa wake kuwekewa Rami. Mara nyingi alikuwa hawaungi mkono wapinzani japo si mwanasiasa wa upande wowote.
Siku moja Mh. Mbowe alikamatwa jijini mwanza, alitakiwa kujibu mashtaka jijini mwanza na wakati huohuo alitakiwa akajibu mashtaka jijini Dar es salaam. Ni kweli alikamatwa na ilikuwa hivyo. Mama yule alisema hivi ina maana Mbowe ndo mkosaji wa Kila siku na hapo aliamini Mh. Mbowe Ni mtu mwema Sana na mpenda haki. Mbowe anatetea watanzania na tukumbuke anamema yake mengi imiwemo hotuba moja aliyoitoa bungeni kwa hisia na maumivu toka moyoni kuiomba serikali kusikiliza hoja zao.
Sasa Mbowe yu mahabusu, anaamini katika Mungu nasi twaamini hivyo, Kama Paul na silla walivyotoka gerezani naye itakuwa hivyo hivyo.
Mh. Mbowe Hakika wewe Ni legendary.
Tukizungumzia upinzani huyu Ni kamanda. Naimani Ni baba pia na ana familia inayomtegemea na mke pia, hao wote wanamlilia. Natambua unajifunza mengi huko na utakuja na mengi, maisha yako niyamapambano siku zote.
Falsafa ya ufagio Ni unyenyekevu, Asante mh. Mbowe.
View attachment 2032550
Na mmeo piaMagaidi huwa na busara mno angalia mfano wa Osama
Diallo alitwambia baadhi ya madikteta uchwara walikuwa na mafaili Milembe. So kama magaidi wako smart ni jambo la kumrejeshea Mungu sifa.Magaidi huwa na busara mno angalia mfano wa Osama
Mkuu umejuaje yote haya kuhusu anachofikiria mtu au kulenga kukitimizaDaaaah!!!
Nasikitika kwa kuona una ID ya Dr Akili lakini u kilaza wa kutupwa.
Mosi, wanajeshi wale "wastaafu" si fyatu kama ulivyoandika. Wale wana kitu inaitwa "post-traumatic stress disorder" au PTSD kwa kifupi.
Pili, Mbowe hapiganii kuking'oa CCM madarakani, bali anapigania utawala bora utakaopelekea Watanzania wote kunufaika na keki ya taifa.
Tatu, Mbowe hakuwa anawaajiri kwa ajili ya "kumsaidia kumsaidia kutulimiza dhana yake hiyo ya ukombozi".
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app