Katika nchi zetu za Afrika, hasa nchi ambazo DEMOKRASIA (Demokrasia kwa Tafsiri ya Kimagharibi) ni changa. Nchi ambazo siasa ni njia ya kutafuta utajiri, nchi ambazo siasa ni ni nyenzo ya kutafuta nguvu katka kijamii. KATIKA MAENEO HAYA UNATAKIWA KUISHI KWA BUSARA ZAIDI, ukichunga akili yako na mdomo.
Katika nchi ambazo siasa sio njia ya kutafuta utajiri na nguvu ktk jamii. Viongozi wa kisiasa ni WATUMISHI wanatumikia Umma, wanakuwa na nguvu tayari, hawapo kutafuta nguvu bali kusaidia.
HAPA AKILI INATUMIKA SANA KULIKO BUSARA. HAPA UNATARAJIA MAENDELEO.
Katika nchi ambazo siasa sio njia ya kutafuta utajiri na nguvu ktk jamii. Viongozi wa kisiasa ni WATUMISHI wanatumikia Umma, wanakuwa na nguvu tayari, hawapo kutafuta nguvu bali kusaidia.
HAPA AKILI INATUMIKA SANA KULIKO BUSARA. HAPA UNATARAJIA MAENDELEO.