Bus zuri Dar - Dodoma

Bus zuri Dar - Dodoma

Shabiby Wana mabasi mapya sh. 18,000 ukitaka luxury 25,000 linaondoka ubungo saa 5
 
Mkuu hawa ndo pia wana ma-Bus ya kwenda Arusha? Dar - Arusha ni bei gani?
 
Wakuu natarajia kusafiri kutoka DAR kwenda Dodoma. Bus gani zuri na nauli ikoje? Kwa wenyeje wa Dodoma, hoteli gani nzuri yenye bei za kuanzia 20,000 - 30,000? Natanguliza shukrani zangu.
Panda Champion na Guest Nzuri ipo Swaswa
 
Back
Top Bottom