Huyu jamaa anastaili kuwa na chombo kama hiki,amewafanyia mengi waafrika hivyo wacha ale raha.Lakini mbona sijaona sehemu ya kwenda haja au ina maana huyu mzee kaziba...
Huyu jamaa anastaili kuwa na chombo kama hiki,amewafanyia mengi waafrika hivyo wacha ale raha.Lakini mbona sijaona sehemu ya kwenda haja au ina maana huyu mzee kaziba...
Hapana Sikubaliani na hili. Rais wa Africa anapanda hili basi kwenda wapi? Barabara zenyewe ziko wapi. Kuna mtu amefika Harare au Bulaweyo? Kama yupo tujadiri ukweli wa hii picture. I can say it is a nightmare for Africa.
Hapana Sikubaliani na hili. Rais wa Africa anapanda hili basi kwenda wapi? Barabara zenyewe ziko wapi. Kuna mtu amefika Harare au Bulaweyo? Kama yupo tujadiri ukweli wa hii picture. I can say it is a nightmare for Africa.
hao ndio mafisadi papa na manyangumi,wakati wananchi wake wanakufa njaa na wanakufa kama utitiri kwa kipindupindu yeye ananunua basi la mamilioni ya dola, mungu amlaani apte nalo ajali afie humohumo liwe kaburilake nyangau mkubwa huyu.