jMali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 8,412
- 5,013
nimeona mambo matatu...!!
1. Huyu jamaa huenda alikua na mpango wa usaliti kwa piere akamuwahi
2.mahasimu wa piere wapo kazini waki hisi ni njia ya kushinikiza au inapunguza wale top security ili iwe rahisi kumfikia bwana mkubwa
3. kuna external force au internal inatengeneza tension ya kikabila....!!!
No 2 na 3 ndio zinaleta maana. Huyu marehemu alikuwa supporter wa Nkurunzinza tena wale ambao walifanikisha Nkurunzinza kurudi tena baada ya kupinduliwa. Kwa hiyo theory ya kwanza inakuwa sio. Kwa upande mwingine, mahasimu wa Nkurunzinza walishatangaza kuendelea na mapinduzi, na kwa vile hawawezi kupambana jeshi kwa jeshi, wanatumia mbinu zile zile za Kagame za miaka ya 1990 za kulenga watu mmoja mmoja, kutupa mabomu hovyo hovyo etc (guerilla warfare).
Lakini pia uko sahihi kuwa external force ambayo ni Rwanda pia inaweza kuwa behind this kwa sababu the outcome ya mashambulizi kama haya lazima itakuwa 'genocide' pale mgogoro utakapopamba moto. Ambapo kagame atajifanya kuingilia ili kuistopisha na hivyo kuwa na influence over Burundi.