PostGE2025 Buruhani amjibu Nape: Ndani ya CCM anaweza kuondoka yeye, lakini Chama hakitaondoka madarakani hata baada ya Samia

PostGE2025 Buruhani amjibu Nape: Ndani ya CCM anaweza kuondoka yeye, lakini Chama hakitaondoka madarakani hata baada ya Samia

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) mkoa wa Kagera, Faris Buruhani, amejibu kauli ya Nape Nnauye kuhusu chama hicho kuondoka madarakani akisema "Ndani ya CCM anaweza kuondoka yeye, lakini Chama hakitaondoka madarakani hata baada ya Samia"

Soma > Nape: Vyombo vya Dola visipojali UTU, CCM itang'oka!


 
Ukimsikiliza kwa makini anajichanganya kwenye maneno yake napata wasiwasi huyu pia ni kiaongozi huko katika hicho chama.

Kama tutakuwa na viongozi wa namna hii ipi? Future ya jamii yake
 
Hivi hawakumpa ubonge wa uteuzi wa mama huyu kumbe...
 
Back
Top Bottom