101 East
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 1,040
- 2,121
Back in the days, miaka ya 80 na 90 mtaani kulikuwa kuna noga sana kwa burudani mbalimbali tulizokuwa tunazipata kama vile kuona:
1. Ngongoti
2. Joyce Wowowo
3. Kibisa kucheza na Nyoka
4. Mazingaombwe
5. Power akivuta vitu mbalimbali
6. Video za Kibatali (mwanasesere)
7. Magari ya Bati na Udongo
8. Magari ya Cinema
9. Kuwinda Ndege
10. Kuogelea
11. Upinzani wa Mpira timu za mtaani
Mimi kwetu Kwa MTONI Kwa Aziz, timu zetu za kitaa zilikuwa nyingi sana, kama vile:
1. Small Tiger
2. Chama Mneli
3. Double Seven
4. Parma
5. Panama
6. Farudume
7. Banyamulenge
Na zinginezo. Tukumbushane kwa wenyeji wa huko.
Kwa upande wa misimu ya matunda, dah, ilikuwa inanoga sana. Ni kuning'inia tu juu ya miti, maana kipindi kile kila nyumba ilikuwa na mti wa matunda ya kipekee, na ilikuwa wakati wa watu kuvaa ma P.O.P. Matunda kama vile:
1. Zambarau
2. Maembe
3. Stafeli
4. Topetope
5. Fenesi
6. Mabibo
7. Makungu
8. Bungo
9. Peasi
10. Komamamga
11. Shelisheli
Hivi vitu vilileta burudani na hamasa kitaa kipindi kile, sijui vimepotelea wapi. Hivi mkoa gani hizi burudani bado zipo mpaka leo?
Je, tukio gani unalikumbuka wakati mko kwenye harakati za makuzi kuusiana na vitu nilivyovitaja hapo juu?
1. Ngongoti
2. Joyce Wowowo
3. Kibisa kucheza na Nyoka
4. Mazingaombwe
5. Power akivuta vitu mbalimbali
6. Video za Kibatali (mwanasesere)
7. Magari ya Bati na Udongo
8. Magari ya Cinema
9. Kuwinda Ndege
10. Kuogelea
11. Upinzani wa Mpira timu za mtaani
Mimi kwetu Kwa MTONI Kwa Aziz, timu zetu za kitaa zilikuwa nyingi sana, kama vile:
1. Small Tiger
2. Chama Mneli
3. Double Seven
4. Parma
5. Panama
6. Farudume
7. Banyamulenge
Na zinginezo. Tukumbushane kwa wenyeji wa huko.
Kwa upande wa misimu ya matunda, dah, ilikuwa inanoga sana. Ni kuning'inia tu juu ya miti, maana kipindi kile kila nyumba ilikuwa na mti wa matunda ya kipekee, na ilikuwa wakati wa watu kuvaa ma P.O.P. Matunda kama vile:
1. Zambarau
2. Maembe
3. Stafeli
4. Topetope
5. Fenesi
6. Mabibo
7. Makungu
8. Bungo
9. Peasi
10. Komamamga
11. Shelisheli
Hivi vitu vilileta burudani na hamasa kitaa kipindi kile, sijui vimepotelea wapi. Hivi mkoa gani hizi burudani bado zipo mpaka leo?
Je, tukio gani unalikumbuka wakati mko kwenye harakati za makuzi kuusiana na vitu nilivyovitaja hapo juu?