Buriani: John Ngahyoma

Buriani: John Ngahyoma

AljuniorTz

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2009
Posts
544
Reaction score
19
Mwandishi wa Shirika la Utangazaji la BBC; John Ngahyoma amefariki dunia hospitalini leo asubuhi, maziko yake yatafanyika nyumbani kwake Tabata Segerea. Ngahyoma kabla ya kuwa mtangazaji wa BBC aliwahi kufanya kazi ya Radio One na ITV.
 
Mkuu Aljunior angalau uwe unapitia na posts za wengine kwanza.
 
sijaiona, na nime-search similar post haikuleta kitu, so wot cn I do????
Mods wanaweza kuchanganya na iliyopo
 
Back
Top Bottom