The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,060
Siyo kweli kuwa kila mtu ataamua, tunaokolewa si kwa mastahili yetu bali ni kwa neema tu.
Hiyo Neema si unaamua wewe mwenyewe ukiwa hai kwamba uikubali au ukatae? Neema imefunuliwa kwa watu wote, kila atakae anapokea. Huwezi kuniambia mtu alikua jambazi au mwizi na hakuwahi kupokea hiyo Neema akatengeneza maisha yake ukafikiri RIP itampeleka mbinguni. Matendo yake alipokua hai yataamua nafsi yake itaenda wapi.