Burian Dk. David Mbele

balibabambonahi

JF-Expert Member
Apr 5, 2015
14,456
12,581
Kwa wale waishio Mbezi mtaa wa Temboni_Bwaloni kwa Musuguli kuna huyu dk ana maabara yake karibu na ofisi ya serikali ya mtaa.Amewasaidia wengi toka Kairuki hospital ,Bosch hospital ,Kwa Bigambo Msewe na hata wanafunzi wa St Anne Marie sekondari kwa Musuguli.Jamaa amefariki dunia jana jioni.Mbele yetu nyuma yake ,bwana alitoa,bwana ametwaa,jina lake lihimidiwe.Mwanga wa milele umwangazie ee baba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maneno mengine hutamki kwa kuwa unaweza kutamka, unapaswa kuwa na mamlaka ya kuyatamka katika eneo stahiki.

Kwa mfano:
Hakimu hawezi kukutamkia "nakufunga miezi sita......." nje ya mahakama.

Eti mwanga wa mi.......!
 
Kwa wale waishio Mbezi mtaa wa Temboni_Bwaloni kwa Musuguli kuna huyu dk ana maabara yake karibu na ofisi ya serikali ya mtaa.Amewasaidia wengi toka Kairuki hospital ,Bosch hospital ,Kwa Bigambo Msewe na hata wanafunzi wa St Anne Marie sekondari kwa Musuguli.Jamaa amefariki dunia jana jioni.Mbele yetu nyuma yake ,bwana alitoa,bwana ametwaa,jina lake lihimidiwe.Mwanga wa milele umwangazie ee baba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Je mimba zilisalimika enzi ya uhai wake?
 
Raha ya milele umpee eeh bwana na mwanga wa ulimwengu umwangazia apumzike kwa amani. Amen
 
Maneno mengine hutamki kwa kuwa unaweza kutamka, unapaswa kuwa na mamlaka ya kuyatamka katika eneo stahiki.

Kwa mfano:
Hakimu hawezi kukutamkia "nakufunga miezi sita......." nje ya mahakama.

Eti mwanga wa mi.......!
Mimi nimemaanisha hivyo hivyo sijanukuu popote,mmezoea mapokeo ya Rumi unafikiri lazima na mimi niseme kama warumi...nenda na innuendo zako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
R.I.P Dokta.

Chanzo cha kifo ni nini? uzee, ugonjwa, ajali.....
 
Ukijua alichokuwa anaumwa nini itakusaidia nini? ndugu na daktari wake ndio wenye jukumu la kujua ugonjwa uliomuuwa.
Sijauliza aliumwa nini, nimeuliza chanzo cha umauti...ikielezwa tu aliugua inatosha.

Isitoshe kuna tofauti kuomboleza kifo cha aliyefariki akiwa Mzee wa miaka 80+, na anayefariki ghafla huku jamii bado ilihitaji mchango wake.
 
Wekeni picha tukumbushane. Maana ilo Jina mbona linafanana na mbele mwingine alafu ni dokta pia
 
Hicho ndio cha muhimu na kutafakari itakapofika zamu yetu tutakumbukwa kwa kipi?

Kila mtu anaamua ataenda wapi anapokua hai, tena kama anaamini uwepo wa maisha baada ya kifo.
Siyo kweli kuwa kila mtu ataamua, tunaokolewa si kwa mastahili yetu bali ni kwa neema tu.
 
Back
Top Bottom