Bunny Mark wa ''you're my sweet'. My sugar''

Nyaka-One

JF-Expert Member
Oct 27, 2013
4,725
6,730
You're my sweetie, my sugar, my baby, my lover...so honey let me hold ya, let me love ya, forever. Wo-eh.

Hayo ni maneno yaliyomo kwenye wimbo maarufu uitwao "You're my sweet, my sugar" au "Let me love you" ulioimbwa na mwanamuziki Bunny Mack kutoka nchini Sierra Leone.

Wimbo huu ulikuwa moja ya nyimbo maarufu sana mwanzoni mwa miaka ya 1980 pamoja na mwingine kama "Amioh" wa Nayanka Bell wa Ivory Coast (Cote d'Ivoire).

Wengine tulikuwa bado wadogo sana lakini tuna kumbukumbu nzuri ya huu wimbo kukubalika sana kipindi hicho.

Lakini daah! Sikujua kuwa huyu Bunny Mack alifariki July mwaka jana 2015. Kweli udongo haushibi.
 
You're my sweetie, my sugar, my baby, my lover...so honey let me hold ya, let me love ya, forever. Wo-eh.

Hayo ni maneno yaliyomo kwenye wimbo maarufu uitwao "You're my sweet, my sugar" au "Let me love you" ulioimbwa na mwanamuziki Bunny Mark kutoka nchini Sierra Leone.

Wimbo huu ulikuwa moja ya nyimbo maarufu sana mwanzoni mwa miaka ya 1980 pamoja na mwingine kama "Amioh" wa Nayanka Bell wa Ivory Coast (Cote d'Ivoire).

Wengine tulikuwa bado wadogo sana lakini tuna kumbukumbu nzuri ya huu wimbo kukubalika sana kipindi hicho.

Lakini daah! Sikujua kuwa huyu Bunny Mark alifariki July mwaka jana 2015. Kweli udongo haushibi.
Hee nyaka one huyu mtu ameshafariki? nini kili muua aisee
 
Hee nyaka one huyu mtu ameshafariki? nini kili muua aisee
Haijawekwa wazi mkuu. Wamesema tu kuwa alifia London baada ya kuugua kwa muda mfupi. Pia jamaa alikuwa ni freemason akiwa na wadhifa mkubwa katika hiyo freemasonry.
 
Haijawekwa wazi mkuu. Wamesema tu kuwa alifia London baada ya kuugua kwa muda mfupi. Pia jamaa alikuwa ni freemason akiwa na wadhifa mkubwa katika hiyo freemasonry.
Basi alifanya makosa wakamchukua
 
Aaah aaaah. Kwani mkuu ukishakuwa freemason hauwezi kufa kifo cha kawaida hadi uchukuliwe baada ya kufanya mambo kinyume na matakwa yao?
Mara nyingi wao huzeeka au teseme huishi umri halali tuliopewa na mwenyezi Mungu
Wanauwezo wakukukinga na kila baya
 
Mara nyingi wao huzeeka au teseme huishi umri halali tuliopewa na mwenyezi Mungu
Wanauwezo wakukukinga na kila baya
Mkuu hii ni habari mpya! Mimi ninachoamini ni Mungu tu ndiye umkinga binadamu na kila baya.
 
Mkuu hii ni habari mpya! Mimi ninachoamini ni Mungu tu ndiye umkinga binadamu na kila baya.
sio kila baya linalompata mwanadamu hutoka kwa Mungu, hapa namaanisha kifo,ajali n.k
Hivo wao wanaouwezo wa kukuepusha na mambo kama hayo mitego ya wanadamu
 
sio kila baya linalompata mwanadamu hutoka kwa Mungu, hapa namaanisha kifo,ajali n.k
Hivo wao wanaouwezo wa kukuepusha na mambo kama hayo mitego ya wanadamu
Oooh. Basi ni jambo zuri.
 
Shukrani!
Pia mwezi huo huo wa July 2015 David Masondo yule mwimbaji kiongozi wa kundi la Soul Brothers kutoka Afrika ya Kusini alifariki. Nyimbo zake maarufu ni pamoja na Kulukhuni, Baba ka sbongile, Mantombazane, Intokazi na nyingine nyingi tu.
 
Pia mwezi huo huo wa July 2015 David Masondo yule mwimbaji kiongozi wa kundi la Soul Brothers kutoka Afrika ya Kusini alifariki. Nyimbo zake maarufu ni pamoja na Kulukhuni, Baba ka sbongile, Mantombazane, Intokazi na nyingine nyingi tu.
Aisee nakumbuka wimbo wao wa uyangilupha,
na huyu chanzo cha kifo chake ni nini mkuu
 
Aisee nakumbuka wimbo wao wa uyangilupha,
na huyu chanzo cha kifo chake ni nini mkuu
Alikuwa na tatizo la figo. Alifariki akiwa na umri wa miaka 67 na kaacha jumla ya watoto 40. Si mchezo!
 
Back
Top Bottom