R resiro Member Apr 2, 2012 10 0 Apr 19, 2012 #1 Bungeni wapo wabunge wa upinzani na mawaziri wanne. Lukivu, mwanri, mkuchika na AG. Wengine wapo kwenye kikao cha dharura kuzibwa midomo yao. JE TUTAFIKA?
Bungeni wapo wabunge wa upinzani na mawaziri wanne. Lukivu, mwanri, mkuchika na AG. Wengine wapo kwenye kikao cha dharura kuzibwa midomo yao. JE TUTAFIKA?