Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 71,025
- 94,089
Darling unashangaa? ndo bunge letu hilo...
Yaani nimebaki nikiduwaa mie...sijui tunaelekea wapi sisi eeh Mungu tusaidie.
Darling unashangaa? ndo bunge letu hilo...
Labda Spika alikataza matusi yasitolewe kwa lugha ya kiswahili
wanaita "f" bomb au "f" wordIngekuwa ni CDM engefungiwa kabisaa!!
It is only valid to your level of thinking not to great thinkers like me..!There's no way you can justify this, absolutely, NO WAY! Bungeni? Huku ukifahamu fika kwamba kuna watu all over the country wanasikiliza na wengine kuangalia LIVE? Unjustifiable aisee!
Yaani na wewe unavyokutana na wenzako unajiita GT!!!It is only valid to your level of thinking not to great thinkers like me..!
It is only valid to your level of thinking not to great thinkers like me..!
anayeweza kutafsiri hili neno "---- you" kwa kiswahili alilotamka huyu mbunge anisaidie..... dada white nisaidie
jf bwana.....unakuta kajamaa kapo secondary ya vodafasta kana-argue na lecturer wa UD......Yaani na wewe unavyokutana na wenzako unajiita GT!!!
Yaani na wewe unajiita GT?! u-GT wanauona watu kutokana na hoja zako na sio wewe mwenyewe ujiite GT...Lililo dhahiri ni kwamba, hata tukisema tuteue ma-GT 200 hapa JF basing on their contributions, wewe huwezi kuwa mmoja wao labda kama wapiga kura awe Serukamba unaye-justfy upumbavu wake huku akishirikiana na mwenzake Lusinde.