Bungeni: Msigwa aongea 'point'

Hebu tuwekane sawa. Uongo ni jambo baya na vitabu vitakatifu vimetuonya. Sasa fikiria ukimwambia mtoto kuwa usipokula ntamuita mbwa akung'ate masikio, hapo utakuwa umesema "Uongo" maana huwezi kufanya hivyo. Ukimwambia ingia ndani, nje kuna Simba watakumeza, umesema UONGO. Je tuseme huu kweli ni uongo? "Uongo" wenye tija ya kuokoa na kujenga huwezi ukauita uongo maana kazi ya uongo ni ya shetani na ni kwa ajili ya kuleta madhara kwa mtu mwingine ili mwingine afaidi. Kwa mantiki hiyo askari kuvujisha siri za kuwadhibiti CDM si usaliti bali uzalendo, maana kazi ya polisi si kuidhibiti CDM. Hiyo ni mikakati ya kiovu ya watawala na mawakala wa CCM. Kuvujisha siri hizo ni uzalendo kuhakikisha maisha na mali ya Watanzania wakiwemo wafuasi wa vyama vinalindwa. Hebu kuwa Great thinker bwana.
 
Acha kumvunjia heshima IGP Mwema, hakuna mtu asiye jua kuwa Mwema ni jembe, makosa ya kiufundi yanayo endelea kwa sasa ni mapungufu tu ya kiutendaji. Ifike wakati tujifunze ku-appreciate.

Kumbe mnajua kuwa ni makosa,ila ni yakiufundi!?haya yaweke hapa tuyajadili siyo UPUMBAVU unaoletaga hapa kila baada ya robo saa.
 

Kaka hizi siasa za bongo lazima sometime uwe mnafiki hata kama hupendi kuwa hivyo
 
Kumuita Kinana jangili nayo point? kushika biblia bungeni huku akishusha matusi kwa watawala nayo point? kwa hili la leo nimempa viji-credit kidogo na ningependa wapinzani wengine wafuate mwenendo huo wa Msigwa!!

Heee!siku hizi mkiambiwa FACTS yanakuwa ni matusi?
 
Acha kumvunjia heshima IGP Mwema, hakuna mtu asiye jua kuwa Mwema ni jembe, makosa ya kiufundi yanayo endelea kwa sasa ni mapungufu tu ya kiutendaji. Ifike wakati tujifunze ku-appreciate.

BINAFSI sina mabaya na IGP Mwema zaidi na yeye kutumika kwa kutishia watu eti na taarifa zake zakizushi za intelijensia. Mfano swala la bomu Arusha alianza kulishughulikia vizuri sana na wananchi tulikuwa tayari kumpa ushirikiano 100%. Ila sasa alipokuja Kamishna Chagonja ndiyo ametutibua nyongo na kutuzuia tusiwaage wapendwa wetu tulionusurika nao. Uliisoma ile taarifa yake ya tarehe 16 June, siku moja baada ya mlipuko? Huyo CHAGONJA ndiyo ameizika kabisa POLISI JAMII.

View attachment 99702
 
Wewe siyo mkweli,siku zingine huwa anaongeaje? Je vipi mwenendo wa Mwiguru Nchemba?Kwa nini Msigwa?
 
What do you actually appreciate? i doubt about your citizenship!
 
sawa Tumtemeke kwenye sura mpya!!
 
Polisi sio jengo ni taasisi, sio taasisi ni matendo, sio matendo na matokeo ya matendo yao. Aliyoyasema ndiyo ilivyokuwa ikitegemewa polisi ifanye, isipofanya inavyotegemewa inanunua dharau mbele ya jamii. Sio kwa polisi peke yake ni hivyo kwa taaluma zote: Wanasheria wakishindwa kutafsiri sheria kwa jinsi wanavyotegemewa hawatathaminiwa, waalimu wakifelisha wanafunzi wote darasani hata ugimbi hawaonjeshwi vijijini, wabunge wakishindwa kuisimamia serikali wakaishia kudai posho na kupiga makofi ya ndiyo mzee wanabezwa kama msanii wa Kenya alivyowaonyesha wabunge wa Bunge la Tanzania kwenye Kikaragosi orodha ni ndefu itoshe tu kusema wapinzani wanawapenda polisi walinda amani ya kweli ya wananchi wa Tanzania, sio polisi walinda maovu ya viongozi.
 
SIYO KWAMBA MSIGWA ANGEAGI POINT NI KWAMBA KUNA MAMBO HUWA YANAMUUZI SANA NDIYO MAAAN HUWA ANAONGEA KWA JAZBA OTHERWISE NI MTU MSTAARABU SNA:majani7::boxing:
 
Hata wewe polisi unayetumwa kuua hivi huwezi kutumia akili zako kidogo kufikiri??
weeeeeeeeeeeee!!!!! anatetea ugali, agome kwani hapendi kuwa kwenye payroll ya serikali????anaua ivoivo kishingo upande huku roho inamsuta.ingawa wengine ni wauwaji naturaly yaani tayari wana pepo mtaka roho za watu anaye itawala CCM.
 

Chuki yako dhidi ya CDM isikufanye ukawaweka Wanachadema ndani ya kapu moja. Kwa chuki yako umeamua kuifisha fikra yako na kutaka kuwaaminisha watu kuwa ni CDM peke yao wanaowachukia polisi kana kwamba CDM hawana ndugu,jamaa, marafiki au hata wafanyakazi ambao ni polisi. WANACHADEMA kama ilivyokuwa raia yeyote mpenda haki anachukia polisi ambao hawaheshimu raia na haki zao, ni wakatili na wanaokubali kutumiwa. Polisi wanafanya kinyume na yel niliyotaja ni rafiki wa CDM na raia wengine. With this end in view don't brand CDM as wenye chuki ila sema raia wote wenye mapenzi mema, wazalendo na wanaoona mambo kwa umbali zaidia ya pua watachukia polisi watenda maovu dhidi ya raia.
 

Kwa maelezo yako, tuwe tunashirikiana kuelimisha watu kuwa kuwaita polisi wetu kuwa wao ni polisi-ccm sio vyema. Kwani wengi wa polisi wana fedheheka.
 
Jamani lazima tujue kuwa Polisi wamevamiwa na Polisi Jamii aka Green guards, Polisi wa ukweli hawaichukii CDM angalia kura za uchaguzi uliopita kwenye vituo vya kupiga kura zilizomakambini CDM ilipata kura nyingi sana. Kuanzia sasa tuwetunawachunguza mapolisi kwenye mikutano ya CDM tutagundua mengi sana.
 

Mkuu; wewe ni bonge la Mnafiki sijapata kuona wala kusikia. Na ukitaka kujua rejea post zako hapa FJ
 
Kumuita Kinana jangili nayo point? kushika biblia bungeni huku akishusha matusi kwa watawala nayo point? kwa hili la leo nimempa viji-credit kidogo na ningependa wapinzani wengine wafuate mwenendo huo wa Msigwa!!
Kinana jangili,kwa lugha nyingine ni dentist wa tembo
 
Msigwa amekuwa mpole maana anahaha kumbembeleza kinana afute kesi
 
Kumuita Kinana jangili nayo point? kushika biblia bungeni huku akishusha matusi kwa watawala nayo point? kwa hili la leo nimempa viji-credit kidogo na ningependa wapinzani wengine wafuate mwenendo huo wa Msigwa!!



.....duhh,kumbe ni jembe!!!sasa mpini ni nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…