Bungeni leo.

Bungeni leo.

Mwigulu kazomewa kawaita Mbowe na Jusa ni mashoga..........

Bi mkubwa kamkomalia aombe radhi na kufuta kauli hili bunge linachosha
 
Wanaboa hawa jamaa, wapo ki- chama zaid sidhani kama tutapata KATIBA
 
Felix Mkosamali awaponda maprofesor na wasomi waliopo bungeni kwa kushindwa kutoa michango ya maana matokeo yake wamebaki kua makada wa chama.
 
magamba leo wanakoma yote yameelezwa na wenje hapa. ajabu bado kuna watu wanawakumbatia magamba.
 
Mh Maghembe anajitetea mara baada ya kuambiwa amehonga wajumbe vinywaji na Chakula
 
Mh, Wenje awatuhumu wajumbe walipewa rushwa za vyakula,vinywaji na fedha
 
ha ha ha ha ccm wamekamatwa wanahonga watu vyakula haki yamungu hiki chama hatareee
 
Mh,Wenje anatakiwa kutoa maelezo ya tuhuma za rushwa
 
Wajumbe wale wa 201 wakasirika kwa kuambiwa wamepewa rushwa ya msosi na vinywaji
 
Wajumbe wa 201 wanakuja juu vibaya mno,tuhuma nzito hizi wanamtaka Mh Wenje awaombe radhi.
 
Hili bunge wanazingua, hoja ya watu kupewa misosi, vinywaji na bahasha imejibiwa na the host. Sasa hawa jamaa wanapoanza kubishana na ukweli kuwa walipewa ivo vitu nawashangaa. Hatujaambiwa walipewa nn so cna objection hapo lkn kwny suala la umaskini wa wajumbe kama wanavoiweka nadhan wapo wrong hao #team201 that's my opinion.
 
Dada yangu Samia Suluhu kiti amekiona kichungu,Mh Sitta amechukua nafasi.
 
sintofahamu bungeni, kosa kubwa hii ni hatua ya juu. Tumeruka hatua ya msingi. Nguzo za katiba ni nini ? Haya yangeamuliwa kwanza hata kabla tume haijasonga mbele kwa rasimu ya pili. Turudi kwenye hatua tulioruka. Bunge lisitishwe twende kwenye kura ya maoni tunataka muundo gani wa nchi yetu.
 
Back
Top Bottom