Halafu kwenye mambo ya anasa za wabunge huwa hakuna upinzani bungeni,wote wanakuwa chama kimoja.Kwaweli nguvu ya hoja ya ziada inahitajika kunishawishi nirudishe imani na Siasa uchwara ya bongo.
SWALI:Samahani mkuu,hao wabunge 357 nadhani 102 ni viti maalum ambao hawana majimbo so sidhani kama hao wafanyakazi wa4 wanawahusu wao lakini bahati mbaya sikusikiliza bunge leo wamesema hadi viti maalumu(a.k.a wapiga vigeregere) wanapewa wasaidizi wa4?