Bunge modern taarabu yatoa nyimbo mpya.

Bunge modern taarabu yatoa nyimbo mpya.

kingfish

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2011
Posts
571
Reaction score
159
Content: BUNGE MODERN TAARAB inawakaribisha mashabiki wake kwenye uzinduzi wa albam yao mpya kabisa iliyobeba nyimbo za mipasho:-
1.Mkuki kwa nguruwe... (Spika Anna Makinda).
2.Mimba zisizotarajiwa....(Livingstone Lusinde)
3.Siongei na mbwa..........(Juma Nkamia)
4.Common ---- you..........(Peter Serukamba)
5.Toka nje.......................(Job Ndugai)
Wahi mapema katika uzinduzi wa album hiyo na nunua nakala halisi ili kuinua maisha ya wasanii wetu.
 
BUNGE MODERN TAARAB ::::::::::
inawakaribisha mashabiki wake kwenye uzinduzi wa albam yao mpya UKUMBI WA BUNGE LEO JIONI iliyobeba nyimbo hizi; 1.MKUKI KWA NGURUWE... ( Anna Makinda) 2. MIMBA ZISIZOTARAJIWA (Livingstone Lusinde) 3. SIONGEI NA MBWA NAONGEA NA MWENYE MBWA( Juma Nkamia) 4. COME ON, ---- YOU (Peter Serukamba) 5.PUMBAF, NYOKO MWENYEWE (Halima Mdee)6.TOKA NJE SHENZI (Ndugai J).
Mgeni Rasmi ni DIDAS MASABURI na atanuiza kwa Wimbo wake maarufu ''WABUNGE WA CCM WANAFIKIRI KWA ------'!
WAHI UZINDUZI NA NUNUA DVD HALISI ILI KUWAINUA WASANII WETU HAWA WA MJENGONI!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom