MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,299
Tanzania ni Nchi yenye Katiba.
Katiba ndio kila kitu katika uendeshaji wa nchi. Hakuna aliye juu ya Katiba.
Viongozi huapa kuilinda, kuihifadhi na kutenda kazi zao kwa Mujibu wa katiba.
Sifa za kuwa Mbunge:
1. Ajue kusoma na Kuandika
2. Awe Mwanachama wa chama cha siasa. Agombee ubunge kwa kupendekezwa na Chama chake.
3. Awe Raia wa Tanzania.
Lakini bunge la Tanzania lina bahati ya kuwa na wabunge ambao hawakupendekezwa na chama chao kugombea Ubunge lakini Wamepewa Ubunge.
Walifukuzwa Uanachama wao katika Chama chao lakini hawakupoteza Ubunge, huu ni Ukiukwaji Mkubwa wa katiba ya Nchi.
Serikali ipo kimya.
Bunge lipo kimya.
Mahakama inapiga danadana kesi.
Kwa ukimya huo wa mihimili yote 3
nimeacha kabisa kuamini kuwa Utawala wa Sheria upo Tanzania.
Huwezi kuna na Utawala wa sheria kama katiba haiheshimiki na inachezewa.
Katiba ndio kila kitu katika uendeshaji wa nchi. Hakuna aliye juu ya Katiba.
Viongozi huapa kuilinda, kuihifadhi na kutenda kazi zao kwa Mujibu wa katiba.
Sifa za kuwa Mbunge:
1. Ajue kusoma na Kuandika
2. Awe Mwanachama wa chama cha siasa. Agombee ubunge kwa kupendekezwa na Chama chake.
3. Awe Raia wa Tanzania.
Lakini bunge la Tanzania lina bahati ya kuwa na wabunge ambao hawakupendekezwa na chama chao kugombea Ubunge lakini Wamepewa Ubunge.
Walifukuzwa Uanachama wao katika Chama chao lakini hawakupoteza Ubunge, huu ni Ukiukwaji Mkubwa wa katiba ya Nchi.
Serikali ipo kimya.
Bunge lipo kimya.
Mahakama inapiga danadana kesi.
Kwa ukimya huo wa mihimili yote 3
nimeacha kabisa kuamini kuwa Utawala wa Sheria upo Tanzania.
Huwezi kuna na Utawala wa sheria kama katiba haiheshimiki na inachezewa.