Kabla hujamuombea Sitta kurudi kuwa Spika tena omba rtostam, Lowassa na Chenge wafe kwanza vinginevyo itakuwa ndoto cha mchana....Bunge linaloendelea sasa linakera Sana maana ni sehemu ya mipasho,majungu,fitna,chuki na mipasho yaani hakuna anaeomba muongozo kwa kifungu maana inaonekana hawajui wanasimama tu na kupashan SITTA RUDI ULIOKOE BUNGE LIWE LA VIWANGO...