Bunge linapwaya namkumbuka sitta

Somoche

JF-Expert Member
Oct 6, 2010
6,146
6,997
Bunge linaloendelea sasa linakera Sana maana ni sehemu ya mipasho,majungu,fitna,chuki na mipasho yaani hakuna anaeomba muongozo kwa kifungu maana inaonekana hawajui wanasimama tu na kupashan SITTA RUDI ULIOKOE BUNGE LIWE LA VIWANGO...
 
Bunge linaloendelea sasa linakera Sana maana ni sehemu ya mipasho,majungu,fitna,chuki na mipasho yaani hakuna anaeomba muongozo kwa kifungu maana inaonekana hawajui wanasimama tu na kupashan SITTA RUDI ULIOKOE BUNGE LIWE LA VIWANGO...
Kabla hujamuombea Sitta kurudi kuwa Spika tena omba rtostam, Lowassa na Chenge wafe kwanza vinginevyo itakuwa ndoto cha mchana....
 
Back
Top Bottom