habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,789
- 8,753
Wewe vipi unamaanisha anayemsaidia nae achukuliwe hatua?
Hivi wamjua vizuri yule jamaa?
Hivi wamjua vizuri yule jamaa?
Hii kimantiki ni ok kabisa mkuu!Ila sidhani kama spika atafanya hii kitu ambayo ni potentially 'head-on collision' na rais!Bunge ndio sisi wananchi,tendeni haki kwa niaba yetu.
Undeni kamati teule kumchunguza bashite Na pia wanaomlinda.
hadidu Za rejea
kulidharau bunge
ushiriakiano wake Na wauza ngada ukoje?
uvamizi cloud media
kisha vyeti feki.
kwakuwa serikali imekwisha chukua upande hatuezi PT matokeo tofauti.
bunge lichukue jukum kwa niaba yetu.
km bashite akikutwa Na tatizo atumbuliwe, lakini km ni umbea Na uzushi asafishwe.
iundwe kamati huru.
cc Zito kabwe
cc John mnyika
cc Hussein bashe
cc msukuma
cc kingu
cc speaker.
umoja ni Nguvu utengano ni udhaifu.
Tutajengaje nchi wakati wengine walikuwa ña vyeti feki walifukuzwa kazi ña wengine wameachwa haki itendeke ndio mambo mengine yafuatePeleka mahakamani ushahidi wa hayo yote unayomtuhumu nayo Makonda vinginevyo tuache ushabiki kama tumeamua kufanya kazi za kujenga nchi.
Kupatwa kwa JF eti na wewe ni GT!jinga tu..bunge ndio linachagua wakuu wa mikoa? halafu kamati unapendekeza madalali wa wauza unga watupu.
unajua maana ya oversight au unaitamka tu. mkiambiwa tupate elimu kiswshili ndio nyie kimbelembele hamtaki. nakuuliza tena tangu lini bunge kupanga wakuu wa mikoa...jinga tena (usihamaki ni mzaha tu)mkuu sijui kama unajielewa bunge ni oversight ya serikali, hii ndio watchdog akikosea mbwa anamngata anakaa kwenye mstari,km unatumbo la kuhara Bora kwanza ukaharishe ndio ushike simu
Usije shangaa Mhe. Job akaambiwa akae kimya ishu ife kimya kimya. Hakuna linalishindikana humu nchiniBunge linatakiwa kusimama kidete hii ni dharau kubwa sana.
Bunge lilishang'o lewa meno yote. Halina uwezo huo mkuu. Halafu usijiweke kama sehemu ya Bunge kuteua na wanakamati wa hiyo tume uliyopendekeza, utakuwa unaongozwa na hisia zaidi mkuuBunge ndio sisi wananchi,tendeni haki kwa niaba yetu.
Undeni kamati teule kumchunguza bashite na pia wanaomlinda.
Hadidu Za rejea
Kulidharau bunge
Ushiriakiano wake Na wauza ngada ukoje?
Uvamizi cloud media
Kisha vyeti feki.
Kwakuwa serikali imekwisha chukua upande hatuezi PT matokeo tofauti.
Bunge lichukue jukumu kwa niaba yetu.
Kama Bashite akikutwa Na tatizo atumbuliwe, lakini kama ni umbea na uzushi asafishwe.
Iundwe kamati huru.
cc Zito Kabwe
cc John Mnyika
cc Hussein Bashe
cc Msukuma
cc Kingu
cc Speaker.
umoja ni Nguvu utengano ni udhaifu.
We nani kasema? hiyo kamati yako kwanza imeegemea upande mmojaBunge ndio sisi wananchi,tendeni haki kwa niaba yetu.
Undeni kamati teule kumchunguza bashite na pia wanaomlinda.
Hadidu Za rejea
Kulidharau bunge
Ushiriakiano wake Na wauza ngada ukoje?
Uvamizi cloud media
Kisha vyeti feki.
Kwakuwa serikali imekwisha chukua upande hatuezi PT matokeo tofauti.
Bunge lichukue jukumu kwa niaba yetu.
Kama Bashite akikutwa Na tatizo atumbuliwe, lakini kama ni umbea na uzushi asafishwe.
Iundwe kamati huru.
cc Zito Kabwe
cc John Mnyika
cc Hussein Bashe
cc Msukuma
cc Kingu
cc Speaker.
umoja ni Nguvu utengano ni udhaifu.
kazi mkuu
weka vyeti mezani,
unamzushia gwaji ili asikuulizie vyeti, very low man
when Parliament fail to act on behalf of their people then w r dead
Bunge ndo linafaa.Peleka mahakamani ushahidi wa hayo yote unayomtuhumu nayo Makonda vinginevyo tuache ushabiki kama tumeamua kufanya kazi za kujenga nchi.
Kmbwembwe kama Bashite!jinga tu..bunge ndio linachagua wakuu wa mikoa? halafu kamati unapendekeza madalali wa wauza unga watupu.