MWANALUGALI
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 601
- 34
MCHANGANUA WA VITI MAALUM CCM NI KAMA HUU UFUATAO:
viongozi wakuu uwt NAFASI 2..katibu na mwenyekiti wanaingia kwa nafasi zao.
mikoa yote tz bara na visiwani mikoa 29 nafasi mbili kila mkoa....kazi yao kubwakuwakilisha na kuhakikisha wanainua wakina mama wenzao wengi tumeshaona michango yao kwa wanawake japo wengine ni wazembe..
wasomi 3
NGO 2
walemavu 3
wafanyakazi 2
vijana wanawake 10
kapu 20
wadau bila hivi bunge litakuwa na wanaume karibu asilimia 90.....halitanoga....................miaka ya mbele huko wanawake wakiwazidi wanaume tutaomba pia viti maalum kwa kina baba...........ili tulete usawa...wanawake wanaweza wakiwezeshwa..wapewe nafasi.
Toa mfano chama japo chama kimojawapo!Kama tungeweka kikwazo cha skando za ngono, tungekosa mgombea wa Urais kwenye vyamaa kadhaa!!!
Wana JF mimi bado naona kuwa na wabunge wa viti maalum 100 toka chamam kimoja , bado vyama vingine. Hii inaondoa maana ya kuwa wawakilishi wa kuchaguliwa. To me it does not make sense. Kama ni uwakilishi labda wasizidi 50 kwa vyama vyote, kama kuna haja ya kuwa na wabunge wengi zaidi waongeze majimbo na nia ya kuongeza kin mama wengine basi wahamasishwe kugombea kwenye majimbo na vyama pia vipendekeze kinamama kwa upendeleo katika kugombea majimbo.
Kwa maoni yangu maana ya bunge kuwa na watu waliochaguliwa na wananchi itakuwa inaaapotea badala yake kutakuwa na wabunge wengi ambao hawana mandate ya wananchi ila chama na hasa chama tawala.
Pili hawa wanawake na kwa kupewa nafasi za upendeleo kiasi hicho ni KUDHALILISHWA KWAMBA HAWANA UWEZO, mpaka wapendelewe kwa kupewa bure, na ukitoa ngono kwa viongozi wa kisiasa utakuwa na uhakika wa kuwa mbunge wa viti maalum
sipendi kuwa pessimistic lakini siasa za nchi hii
unajikuta mtu unakuwa pessimistic hata kama ulizaliwa
by nature optimistic kind of person.........
Nimetazama hao wabunge watarajiwa nikakosa cha kusema....
Ni kama miss tanzania imehamia kwenye bunge.......
I mean hilo kundi la vijana,na kundi la kapu sijui na kundi la
vyuo ........ukichanganya na viti maalum........
Mmoja wa hao wabunge watarajiwa anaitwa catherine magige
tayari leo hii ameshaanza andikwa na magazeti ya udaku........
Nilisema na narudia kusema hivi viti maalum tuvipige vita mpaka vifutwe.......
Kwa kweli magazeti ya udaku yatahamia dodoma.....
Na hilo bunge skendo za ngono zitakuwa ni kila siku........
Hivi kuna haja kweli ya kuwa na wasichana umri wa miaka 21-25
wawe wabunge wa viti maalum?????
Wengine bado wa anaishi na wazazi wao halafu waende bungeni
wawe waheshimiwa....wanamwakilisha nani??????????
I am more than dissapointed na hii nchi..........
Hivi wenye kufikiri straight hakuna kabisa?????????????
Vicky Kamata..imekula kwenu hiyo wabunge wanawake wa ccm wana uwezo na wana hoja kali mfano halisi ni easter bulaya.me namkubali sana na wengineo wengi tu.
kuna baadhi ya nchi kuwa mbunge lazima uwe na umri wa zaidi ya miaka 30.
pia wameweka vikwazo vyengine vingi............kama uwe hujawahi kuhusika na scandal hasa za ngono. kwetu hamna sheria hizo?
<br /><a href="http://3.bp.blogspot.com/_Ahce4J-nOBk/TU_mrtlTGII/AAAAAAAAARA/eOhLmvoaMgI/s1600/fullstory.jpg" target="_blank"><img src="http://3.bp.blogspot.com/_Ahce4J-nOBk/TU_mrtlTGII/AAAAAAAAARA/eOhLmvoaMgI/s320/fullstory.jpg" border="0" alt="" /></a>
Sio vijana tu peke yao ndugu,hata watu wazima wapo wanaofanya hayo mambo bungeni sio vijana peke yao.Sipendi kuwa pessimistic lakini siasa za nchi hii
unajikuta mtu unakuwa pessimistic hata kama ulizaliwa
by nature optimistic kind of person.........
Nimetazama hao wabunge watarajiwa nikakosa cha kusema....
Ni kama miss tanzania imehamia kwenye bunge.......
I mean hilo kundi la vijana,na kundi la kapu sijui na kundi la
vyuo ........ukichanganya na viti maalum........
Mmoja wa hao wabunge watarajiwa anaitwa catherine magige
tayari leo hii ameshaanza andikwa na magazeti ya udaku........
Nilisema na narudia kusema hivi viti maalum tuvipige vita mpaka vifutwe.......
Kwa kweli magazeti ya udaku yatahamia dodoma.....
Na hilo bunge skendo za ngono zitakuwa ni kila siku........
Hivi kuna haja kweli ya kuwa na wasichana umri wa miaka 21-25
wawe wabunge wa viti maalum?????
Wengine bado wa anaishi na wazazi wao halafu waende bungeni
wawe waheshimiwa....wanamwakilisha nani??????????
I am more than dissapointed na hii nchi..........
Hivi wenye kufikiri straight hakuna kabisa?????????????