Bunge lijalo ni full skendo za ngono...

Sitaacha kusema na narudia hata kama watu hawapendi.Nchi hii imetekwa na Freemasons.Kwa anayejua atakubaliana na mimi kwamba hata bunge letu architectural design yake ni masonic.Sasa kama hali ndiyo hiyo wanao-think straight utawapata wapi.I pity Tanzanians.Kwa wale ambao bado wana the slightest degree or morality,matumbo tatauma.Freemasons wenyewe wana-admit kwamba by character most Tanzanians are masonic.And you know what being masonic in character means,evil.If that is the situation what do you expect,ni ngono mwendo mdundo tu bungeni.
Sipendi kuwa pessimistic lakini siasa za nchi hii
unajikuta mtu unakuwa pessimistic hata kama ulizaliwa
by nature optimistic kind of person.........

Nimetazama hao wabunge watarajiwa nikakosa cha kusema....

Ni kama miss tanzania imehamia kwenye bunge.......

I mean hilo kundi la vijana,na kundi la kapu sijui na kundi la
vyuo ........ukichanganya na viti maalum........

Mmoja wa hao wabunge watarajiwa anaitwa catherine magige
tayari leo hii ameshaanza andikwa na magazeti ya udaku........

Nilisema na narudia kusema hivi viti maalum tuvipige vita mpaka vifutwe.......

Kwa kweli magazeti ya udaku yatahamia dodoma.....

Na hilo bunge skendo za ngono zitakuwa ni kila siku........

Hivi kuna haja kweli ya kuwa na wasichana umri wa miaka 21-25
wawe wabunge wa viti maalum?????

Wengine bado wa anaishi na wazazi wao halafu waende bungeni

wawe waheshimiwa....wanamwakilisha nani??????????


I am more than dissapointed na hii nchi..........

Hivi wenye kufikiri straight hakuna kabisa?????????????
 
Mnawalaumu bure vijana wetu wa kike kwa kujaribu. Hata kama watafanya ngono si watafanya kwa afya yao? we unataka mtoto wa miaka 25 akienda bungeni asipate raha? Kwanza bunge la utakatifu mnaloliongelea ni hili la kwetu? niwatajie list ya wabunge wenu watu wazima wanaokulana wao kwa wao pale bungeni?

Go girls!! We need bunge lenye vijana. Tunataka mbunge anayejua facebook na twitter ni nini. Bunge lazima liwe photogenic. bunge la vitenge na viremba vya kichwani linadumaza even our attitudes towards thinking. Lazima mtu uanze kuvaa Gucci, Sofia Loren na kwa ndani Victorias secret ili attitudes yako towards development iwe forward looking. Na hii change inaweza kuletwa na vijana.

That's where the problem starts, by wearing Gucci and other expensive stuff you become arrogant, you see yourself elevated than the voters and you deserve the best than the rest of the population. Pili, there is a difference between love making and sex!! Unaweza kufanya ngono na kila mtu lakini huwezi kufanya mapenzi na kila mtu. Na ili heshima yako kwenye jamii iwepo lazima ujiheshimu kwa kila kitu, kuanzia mavazi mpaka tabia zako mbele ya jamii. Hatuhitaji wabunge watakaong'aa na nguo na virembesheo vya bei mbaya tu, tunahitaji wabunge watakaotutumikia na watakaojiheshimu wao wenyewe na kutuheshimu wapiga kura.
 
Mnawalaumu bure vijana wetu wa kike kwa kujaribu. Hata kama watafanya ngono si watafanya kwa afya yao? we unataka mtoto wa miaka 25 akienda bungeni asipate raha? Kwanza bunge la utakatifu mnaloliongelea ni hili la kwetu? niwatajie list ya wabunge wenu watu wazima wanaokulana wao kwa wao pale bungeni?

Go girls!! We need bunge lenye vijana. Tunataka mbunge anayejua facebook na twitter ni nini. Bunge lazima liwe photogenic. bunge la vitenge na viremba vya kichwani linadumaza even our attitudes towards thinking. Lazima mtu uanze kuvaa Gucci, Sofia Loren na kwa ndani Victorias secret ili attitudes yako towards development iwe forward looking. Na hii change inaweza kuletwa na vijana.

Kwa maana hiyo bunge la kipindi hiki ni la maenyesho ya mavazi?ELIMU ELIMU ELIMU
 
Mnawalaumu bure vijana wetu wa kike kwa kujaribu. Hata kama watafanya ngono si watafanya kwa afya yao? we unataka mtoto wa miaka 25 akienda bungeni asipate raha? Kwanza bunge la utakatifu mnaloliongelea ni hili la kwetu? niwatajie list ya wabunge wenu watu wazima wanaokulana wao kwa wao pale bungeni?

Go girls!! We need bunge lenye vijana. Tunataka mbunge anayejua facebook na twitter ni nini. Bunge lazima liwe photogenic. bunge la vitenge na viremba vya kichwani linadumaza even our attitudes towards thinking. Lazima mtu uanze kuvaa Gucci, Sofia Loren na kwa ndani Victorias secret ili attitudes yako towards development iwe forward looking. Na hii change inaweza kuletwa na vijana.

Duuh!!!
 
Mbona sioni mchango wa Juliana Shonza kulipinga hili?

Ha ha ha, huo sasa uchokozi. Kwani lazima kila kitu achangie? After all yeye huwa anachangia yale tuu ambayo yanaweza kupelekea matusi kwa Chadema kutolewa.
Ila jana nimeota Nape na Mwigulu wamezipiga ngumi kavu kavu kwenye kile kikao kirefu cha bajeti. Sababu ya ugomvi niliyoota nimeisahau, nikikumbuka nitasema.
 
Mnawalaumu bure vijana wetu wa kike kwa kujaribu. Hata kama watafanya ngono si watafanya kwa afya yao? we unataka mtoto wa miaka 25 akienda bungeni asipate raha? Kwanza bunge la utakatifu mnaloliongelea ni hili la kwetu? niwatajie list ya wabunge wenu watu wazima wanaokulana wao kwa wao pale bungeni?

Go girls!! We need bunge lenye vijana. Tunataka mbunge anayejua facebook na twitter ni nini. Bunge lazima liwe photogenic. bunge la vitenge na viremba vya kichwani linadumaza even our attitudes towards thinking. Lazima mtu uanze kuvaa Gucci, Sofia Loren na kwa ndani Victorias secret ili attitudes yako towards development iwe forward looking. Na hii change inaweza kuletwa na vijana.

Wewe hata Avatar yako inaonesha tuu unamind kupandwa...

Nguo ndo zinawaza na ku-influence mchango wa mtu kwa taifa?

Poor Caren
 
Last edited by a moderator:
eeeh mungu wangu eh......
Mungu ibariki tanzania........

Kuvaaa gucci na victoria secrets ndio
uweze kuwa na attitude towards development????????

Nyerere akifufuka atakufa tena kwa mshtuko..............

Sijawahi sikia pumba kama hii hapa jf.............
Umevunja rekodi...............

I feel like vomitting...................

Mkuu achana na hawa...unaweza kuta ni mmoja wao..
 
Sipendi kuwa pessimistic lakini siasa za nchi hii
unajikuta mtu unakuwa pessimistic hata kama ulizaliwa
by nature optimistic kind of person.........

Nimetazama hao wabunge watarajiwa nikakosa cha kusema....

Ni kama miss tanzania imehamia kwenye bunge.......

I mean hilo kundi la vijana,na kundi la kapu sijui na kundi la
vyuo ........ukichanganya na viti maalum........

Mmoja wa hao wabunge watarajiwa anaitwa catherine magige
tayari leo hii ameshaanza andikwa na magazeti ya udaku........

Nilisema na narudia kusema hivi viti maalum tuvipige vita mpaka vifutwe.......

Kwa kweli magazeti ya udaku yatahamia dodoma.....

Na hilo bunge skendo za ngono zitakuwa ni kila siku........

Hivi kuna haja kweli ya kuwa na wasichana umri wa miaka 21-25
wawe wabunge wa viti maalum?????

Wengine bado wa anaishi na wazazi wao halafu waende bungeni

wawe waheshimiwa....wanamwakilisha nani??????????


I am more than dissapointed na hii nchi..........

Hivi wenye kufikiri straight hakuna kabisa?????????????


huyu mama nimeona nyumbani kwake kanunua gari Range ROver vogue mbili brand new ya 2015 lakini watu wake wa karibu wanasema ni special order na imemcost paundi laki moja na nusu sasa convert into Tshillings

ngoja nitakutumia picha kama akitoka nalo...
 
kuna baadhi ya nchi kuwa mbunge lazima uwe na umri wa zaidi ya miaka 30.

pia wameweka vikwazo vyengine vingi............kama uwe hujawahi kuhusika na scandal hasa za ngono. kwetu hamna sheria hizo?

Tena hasa hawa wa viti maalum wangekuwa na miaka zaidi ya 30 kikatiba ili kuepusha wale wenye nguvu kupenyeza mahawara zao

Wa kuchaguliwa na wananchi umri usingekuwa kigezo sana kwa sababu wananchi wataanza kumsoma kwenye kampeni
 
Kwakweli hata mimi sikubaliani kabisa na utaratibu wa viti maalum. Mimi ninaona ni afadhali zitolewe fursa sawa za kugombea ubunge kati ya wanawake na wanaume, anayeonyesha uwezo zaidi achaguliwe bila kujali ni wa jinsia gani. Tunakaa kusema kwamba wanawake wanaweza kitu ambacho na mimi ninakiamini kabisa. Lakini tunapowatengea viti vya upendeleo in sawa na kukubali kwamba hawana uwezo mpaka wasaidiwe. Hata wabunge wa kuteuliwa na Rais bado mimi ninaona haitufai, ni kuongeza gharama kubwa za kuwa na wabunge wengi pasipo ulazima. Mimi maoni yangu ni kwamba tuwe na wabunge wa kuchaguliwa majimboni tu ila katika uchaguzi fursa zitolewe sawa kwa wote yaani wanawake na wanaume.
 
lakini AC alikuwa na umri mdogo lakini niliupenda ubaya wake....hakuwa mwoga katika kusimamia anachoamini...alikuwa mwanasiasa mahiri jamani nikimlinganisha na mimama mizee iliyopo....ina kazi ya kuzuia vijaana wadogo wasijenge hoja za msingi! sijui zaidi maisha ya AC ya bungeni yalikuwaje anyway...cha msingi kama yalileta impact katika majukumu yake kama mbunge
binafsi sioni uhusiano kati ya wabunge vijana na ngono bahati nzuri mwandishi wa thread hii ameiona...mie sielewi jamani tulipo kuwa na wabunge wazee wanasinzia na tukaambiwa vijana taifa la kesho tulikataa kwa nguvu zoote..sasa vijana wanaingia bungeni tena tunakataaa tunawahusisha nia ngono
I gesi wangekuwa wanaingia wabunge wanaume vijana hili lisingesemwa hata kama wangeenda kufanya ufuska...
baadhi ya ya wanaJF tubadilike tunawachora na kuwa generolaizi wanawake wote kwa haiba mbaya sana ..umalaya..its not fair at all..ni kukoseana heshima
mix with yours

Usilalame saana mkuu angalia mchakto wa kuwapata hao makitu maalum, mathalani wengi ni vipoozeo vya wajkubwa au Wasoheshimiwa...... angalia mchakto wa kuwapata.
 
Sipendi kuwa pessimistic lakini siasa za nchi hii
unajikuta mtu unakuwa pessimistic hata kama ulizaliwa
by nature optimistic kind of person.........

Nimetazama hao wabunge watarajiwa nikakosa cha kusema....

Ni kama miss tanzania imehamia kwenye bunge.......

I mean hilo kundi la vijana,na kundi la kapu sijui na kundi la
vyuo ........ukichanganya na viti maalum........

Mmoja wa hao wabunge watarajiwa anaitwa catherine magige
tayari leo hii ameshaanza andikwa na magazeti ya udaku........

Nilisema na narudia kusema hivi viti maalum tuvipige vita mpaka vifutwe.......

Kwa kweli magazeti ya udaku yatahamia dodoma.....

Na hilo bunge skendo za ngono zitakuwa ni kila siku........

Hivi kuna haja kweli ya kuwa na wasichana umri wa miaka 21-25
wawe wabunge wa viti maalum?????

Wengine bado wa anaishi na wazazi wao halafu waende bungeni

wawe waheshimiwa....wanamwakilisha nani??????????


I am more than dissapointed na hii nchi..........

Hivi wenye kufikiri straight hakuna kabisa?????????????

Utaumiza kichwa wakati hakuna anayekuelewa. Kwanza kabisa viti maalumu maana yake nini na mwisho wake ni lini. Nimewasifu wabunge wateule; Suzan Kiwanga, Esther Bulaya Esther Matiko Pauline Gekul na Halima Mdee kwa kupambana majimboni na kushinda. Hao wameonesha maana halisi ya viti maalumu, wengine wenzangu na mimi wabunge viti maalumu for more thsani thirty years: Shame.
 
Back
Top Bottom