Nakupa pole maana hujui uandikaloNaona umeishika dini vibaya.
Ukiwa na mtoto wa miaka minane ebu jaribu mumuachie nyumba awe ndo kama baba aongoze familia tuone.
Nakupa pole maana hujui uandikalo
Ahh nenda huko, mwenye kupewa pole wewe hapo.
Toka lini ukampa mtoto wa miaka minane aongoze ati kisa kwenye biblia alikuwepo aliyefanya the same thing. Wewe utalinganisha watu wa kwenye biblia wa miaka hiyo na leo?
Pole sana mtanzania, we ndo hujui uandikalo